Umeme na Nishati - Kenya

Umeme na Nishati - Kenya

Mzee nakuona umepotea vipi!? Mambo yanauna
View attachment 1817656
Wewe uko na ujinga sana. Unaambiwa ulete mradi wenu wa windpower lakini kwa sababu hamna inabidi ujifanye zuzu na kuleta miradi ambayo hujaulizwa. Hata sisi tuna hydropower. Lakini umeulizwa ulete wind farm ya 100 MW. Kama hamna sema hamna. Hata sisi hatuna gas powerplant na nyinyi hamna wind au solar plants zaidi ya 10 MW na niko sure hamna geothermal powerplant hata moja.
 
Sasa unajua energy ni nini!?
Ondoa ushamba Mzee. Umeme wa upepo ni umeme wa jangwani. Tanzania hatuna jangwa Mzee 🤣 🤣🤣
Upepo haupo jangwani pekee. Wewe ni mshamba wa wapi? Upepo unapatikana hata kwenye ocean mahali ambapo kuna maji mengi. Upepo unapatikana mahali popote tu. Punguza ushamba.
 
Upepo haupo jangwani pekee. Wewe ni mshamba wa wapi? Upepo unapatikana hata kwenye ocean mahali ambapo kuna maji mengi. Upepo unapatikana mahali popote tu. Punguza ushamba.
Wind power Mzee ni alternative power source Mzee siyo wa uhakika.
May be jaribu tena baadae.
 
Pwahahaha!! Mzee 🤣 🤣 🤣 usilazimishe Geothermal duniani kote ni 14,900Mw pekee. Hivi upo na akili timamu kweli!?
Hio haibadilishi ukweli kwamba Kenya ni number 8 and soon to be number 7 in geothermal power production. Hio wivu yako peleka kwingine.
 
Record!? Pwahahaha!!! Mzee unaongelea record kama mjinga vile. Utaanza kuleta na record za flying toilet. Mambo ya wind na Geothermal ni umeme usio wa uhakika mzee. Geothermal na Wind are just alternative source Mzee.
Geothermal is the most stable powersource in the world. It is a baseload power source and it is more stable and reliable than Hydro, nuclear, gas or coal. Geothermal is not an alternative power source. Usiongee vitu usivyovijua. Usikurupuke ovyo ovyo.
 
Geothermal is the most stable powersource in the world. It is a baseload power source and it is more stable and reliable than Hydro, nuclear, gas or coal. Geothermal is not an alternative power source. Usiongee vitu usivyovijua. Usikurupuke ovyo ovyo.
Duh!!! Hebu leta hiyo evidence Mzee.
Halafu wewe cashier mambo ya physics wapi na wapi!?
Screenshot_20210613-195136.png
 
Huu ndo unaitwa ushamba! Nimekwambia unionyeshe mradi wa umeme kutumia upepo umeenda kunionyesha mradi wa gesi! Kwani unadhani kenya hatuna viwanda vyengine vya kuzalisha zaidi ya 185MW. Punguza ushamba, Tz haina hata 5MW of wind farm, funga bakuli kwa mambo ambayo huwezani!
Wewe unataka Umeme au upepo?
 
That only means kwamba Kenya ni miongoni mwa nchi chache sana duniani ambazo zimefanyikiwa kutega upepo na kuutumia kuzalisha umeme.. So piga saluti kwa heshma ukiona tumeongeza 100MW kutoka kwa upepo... Tunashikilia rekodi ya biggest wind farm south of the Sahara! Tanzania mnashikilia rekodi gani ya Gas au Hydro???



Alafu kwa Thermal, Tunashikilia rekodi kwa kua the biggest producer of geothermal energy in Africa, na duniani number 8



iu


----------------------------------
Alafu wewe uko hapo unakuja kutucheka tukilaunch 100MW wind farm, kitu ambacho nchi nyingi za Africa zimeshindwa kufanya ilhali upepo upo kwa wingi!
I can see Kenya is also ahead of Japan [emoji3]
 
Of course. We are even ahead of China, UK, France, Russia, Brazil, India na kadhalika. Kwenye geothermal tupatie heshima yetu tafadhali.
Mzee hebu twende taratibu. Nitakuelimisha mpaka kichwa chako kiwe sawa.
Geothermal Electric energy vs Hydroelectric Energy

Screenshot_20210614-084307.png
Screenshot_20210614-084221.png
 
Nimeamua kuanzisha uzi huu wa umeme na nishati kwa sababu huwa nina habari nyingi kuhusu sekta hii ila huwa nakosa mahali pa kupost habari hizo.
 
Record!? Pwahahaha!!! Mzee unaongelea record kama mjinga vile. Utaanza kuleta na record za flying toilet. Mambo ya wind na Geothermal ni umeme usio wa uhakika mzee. Geothermal na Wind are just alternative source Mzee.
ATI geothermal sio umeme wa uhakika! Duh! Watanzania muelimisheni Huyu kinyangarika wenu kabla azidi kuwaaibisha jameni!
 
Duh!!! Hebu leta hiyo evidence Mzee.
Halafu wewe cashier mambo ya physics wapi na wapi!?
View attachment 1818140
Umeitisha evidence kwamba geothermal power ni baseload power. Ndio hii naweka evidence na usibadilishe goal post kama kawaida yako. Pata somo hapa chini.



Baseload energy - it’s always on: Geothermal power plants produce electricity consistently, running 24 hours a day, 7 days a week. The power output of a geothermal power plant is highly predictable and stable, thus facilitating energy planning with remarkable accuracy. Geothermal power plants are also an excellent means of meeting baseload energy demand, or the minimum level of demand on an electrical grid during a 24-hour period.

Kwa mengi zaidi fuata hapa:


Nakungojea ubadilishe goal post kama kawaida yako.
 
ATI geothermal sio umeme wa uhakika! Duh! Watanzania muelimisheni Huyu kinyangarika wenu kabla azidi kuwaaibisha jameni!
Mzee mimi siongei kwa kupiga kelele. Unachotakiwa kuleta evidences za claims zako.
Ushahidi wangu wa kwanza huu hapa.
Screenshot_20210613-195136.png
 
Umeitisha evidence kwamba geothermal power ni baseload power. Ndio hii naweka evidence na usibadilishe goal post kama kawaida yako. Pata somo hapa chini.



Baseload energy - it’s always on: Geothermal power plants produce electricity consistently, running 24 hours a day, 7 days a week. The power output of a geothermal power plant is highly predictable and stable, thus facilitating energy planning with remarkable accuracy. Geothermal power plants are also an excellent means of meeting baseload energy demand, or the minimum level of demand on an electrical grid during a 24-hour period.

Kwa mengi zaidi fuata hapa:


Nakungojea ubadilishe goal post kama kawaida yako.
Wewe ndiye unayebadili. Umesema Geothermal Electric Energy inazidi Hydroelectric Energy. Kitu ulichokiweka hapa hakiendani na claim yako.

Nimekutaka ulete Geothermal electric Energy vs Hydroelectric Energy.
 
Wewe ndiye unayebadili. Umesema Geothermal Electric Energy inazidi Hydroelectric Energy. Kitu ulichokiweka hapa hakiendani na claim yako.

Nimekutaka ulete Geothermal electric Energy vs Hydroelectric Energy.
Wewe ulipost mambo ya efficiency. Mimi nilikuwa nazungumzia mambo ya stability au kwa lugha nyingine availability. Efficiency na availability ni vitu viwili tofauti.
 
Back
Top Bottom