Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Kwahiyo tumekubaliana kuwa Geothermal is not reliable good source of electric energy compared to Coal, hydro, Nuclear and Gas!?Sasa niambie kwa hizo points zangu ni gani wrong? Au wewe ulikua unaongezea tu? Kama ni hivyo asante kwa kuongezea. Kuna sababu nyingi hata zaidi ya kumi mbona geothermal haitumiki sana.
Pure BS bana. Geothermal Energy is very clean, emissions is mainly water vapour. Other emissions are very minimal to trigger any greenhouse effect. Renewables are the Future of Energy.Point number 3 is Bullsh*t
I am talking about Geothermal is not the reliable source of electricity.Boss what are you talking about?
So tunaacha kuongea science tunaanza kuongelea maneno ya kingereza!?Wewe neno "reliable" unaielewa vipi?
So geothermal sio reliable kwa misingi gani?So tunaacha kuongea science tunaanza kuongelea maneno ya kingereza!?
Chukua hiyo:-
View attachment 1818517
Tunaenda tunarudi. Kwanini hutaki kutuambia how Geothermal is better compared to others!?So geothermal sio reliable kwa misingi gani?
Adios. Sina muda wa kupoteza.Tunaenda tunarudi. Kwanini hutaki kutuambia how Geothermal is better compared to others!?
Hivi hapa sababu chache kati ya nyingi.
1. Geothermal energy runs the risk of triggering earthquakes.
2. Expensive resource to tap into, with high upfront costs ranging from around $2-$7 million for a plant with a 1 megawatt capacity.
3. One major concern around geothermal energy, as articulated by GreenMatch, is in regards to its extraction — often, the extraction of geothermal energy “leads to a release of greenhouse gases like hydrogen sulfide, carbon dioxide, methane and ammonia.”
Usianzishe threads usizokuwa na uwezo nazo.Adios. Sina muda wa kupoteza.
Muhimu tukijua comrade, pia picha kiasi zisikosekane aisee. Kudos!Nimeamua kuanzisha uzi huu wa umeme na nishati kwa sababu huwa nina habari nyingi kuhusu sekta hii ila huwa nakosa mahali pa kupost habari hizo.
Nice, we're on the right track... 👏🏽
Iam beginning to respect this SECO guys . They are in ship building, roads and bridges construction and now energy infrastructure. They are really serious.Malindi Solar Project 52MW U/C
They also played an important role in the 310 MW Lake Turkana wind power. They did the site prep work there.Iam beginning to respect this SECO guys . They are in ship building, roads and bridges construction and now energy infrastructure. They are really serious.
Because many countries don't have geoUsianzishe threads usizokuwa na uwezo nazo.
Geothermal electricity is too expensive.
View attachment 1818541
Mzee Tidal energy unajua investment yake!?Hivi mbona Africa bado hatuna explore Tidal energy , tuna Maziwa na bahari ambazo ni resources kubwa katika uzalishaji WA nishati ya umeme Kwa kutumia mawimbi ya maji
Issue hapa ni renewable Energy zaidi ya capacity. Asilimia 80 renewable Energy ni jambo la kujivunia.Yaani mradi wa 100mw ndio kelele zote hizi!?
SOlar power potential is huge at the equator yet EA countries have done little to harness the readily available Energy.We need a diversified power production portfolio , ukiangalia Sisi na mabwawa yote tulionayo capacity ya power generation is a joke just 1500MW wakati South Korea Kwa kutumia Tu Tidal energy wanavuna 500MW , a fucking quarter of our national power grid capacity
Mzee mimi huwa sipendi kuongea vitu bila evidences.Ukizingatia emphasis kuanzia Marekani mpaka Europe , uliwengu mzima green energy ndio habari ya mjini UN is putting more pressure on this , tusome nyakati wazee sio kuwa static Tu na kukariri umeme WA maji wakati mabadiliko ya Hali ya hewa ni evidently , unaweza matrillion ambayo in the short period of time will be useless , drought inakamua maji na soon hayo mabwawa mnayojenga hayatakuwa na maji sio sustainable .
Green energy kama wind , Solar , Geothermal , Nuclear , Tidal waves energy ndio ziwekewe attention kubwa
Mzee hebu ondoa hadithi za abunuasi hapa. South Korea ndio inaongoza kwa Tidal energy wameweza ku install only 511Mw out of 119GWSouth Korea wanavuna zaidi ya 500 MW za umeme kupitia tidal wave energy , yaani umeme WA bwerere kabisa , For JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala sake we have some of the biggest water bodies in the world , Lake Nyasa , Victoria , Tanganyika , Indian Ocean etc , let's use our heads , electricity shouldn't be a problem in a country like Tanzania ,
We need Visionaries not these stupid parasites of ours that we have these days , pathetically calling them our beloved presidents and leaders , Morons