Umeme ulianza kutumika Tanzania mwaka 1908 walishindwa vipi kuboresha mitambo madhubuti miaka yote hiyo?

Wrong everything, please fanya research zaidi ili uelewe, umeme wa jua tukiwa serious utaondoa hii migawo na umaskini unaotokana na kukosa umeme wa bei rahisi na kuaminika
 
Wrong everything, please fanya research zaidi ili uelewe, umeme wa jua tukiwa serious utaondoa hii migawo na umaskini unaotokana na kukosa umeme wa bei rahisi na kuaminika
1.Howcome hakuna hata nchi moja duniani, ambayo chanzo chake namba moja kikubwa cha umeme ni Solar....?

2.pia Lazima ujue kuwa shida kubwa ya TZ siyo uzalishaji wa umeme, Bali ni distribution networks....?
 
Wrong everything, please fanya research zaidi ili uelewe, umeme wa jua tukiwa serious utaondoa hii migawo na umaskini unaotokana na kukosa umeme wa bei rahisi na kuaminika
Soma matatizo yanayokumba solar electrical power plant ,link chini

 
1.Howcome hakuna hata nchi moja duniani, ambayo chanzo chake namba moja kikubwa cha umeme ni Solar....?

2.pia Lazima ujue kuwa shida kubwa ya TZ siyo uzalishaji wa umeme, Bali ni distribution networks....?
Huna idea unachoongea, US mwaka Jana tuu wame install zaidi ya 45,000MW za solar power na ndio ilikuwa number one source of energy mpya Kwa 2023 na ilizidi gas, coal, nuclear na Kila kitu unachojua etc, na China ndio zaidi (Google utajua), nafikiri hauko serious unaposema TZ haina shida kwenye uzalishaji, Tanzania hatuna umeme ndio maana Kuna migawo Kila siku na sababu sio usambazaji tuu, jaribu kufungua kiwanda Labda utaelewa changamoto za umeme, Tanzania ni maskini sana na capacity ya 3000MW ambazo kiukweli hazipo ndio chanzo kikubwa na shida nyingi za uchumi zinapoanzia, Kwa 3000MW maendeleo sahau na wanaoelewa wanalitambua hilo
 
Kila source of energy ina matatizo yake, lakini Kwa sasa solar kama unafuatilia ndio cheapest and clean source of energy, Kwa Europe na US solar 2023 ilikuwa number one, Kwa wenzetu waliondelea waliachana na hydro maana inaharibu mazingira sana na sio reliable sana, jielimisheni ili muwaelimishe wengine maana tukiwa solar tumejariwa kama mwarabu na mafuta, na tukiwa serious tutasolve matatizo yetu ya kiuchumi na umaskini wetu, energy ni direct proportion na maendeleo, ile Dodoma na central yote Kuna jua la kuweza supply umeme nchi nzima mpaka wa kuuza nje
 
weka solar utaachana na bill za TANESCO na hao wahuni hawatakula pesa zako tena, nimejenga nyumba nimeweka solar +battery huu mwaka wa tatu sijui bill ya TANESCO inafananaje, na solar lifespan ni 25 years or more
Bado haujaelewa soma tena comment alichoandika jamaa
 
Tulishindwa kuyaendeleza mazuri ya wakoloni kwa sababu maendeleo sio mfumo wetu wa maisha,sisi zaidi ya kula na kunywa mengine ni ziada tu
 
Kodi ni tools ya kukufanya wewe uwe masikini ili uweze kutawaliwa.
Falsafa ya ccm ni wafanye wawe masikini ili uweze kuwatala
 
hii list inakosaje Zanzibar? ilihitaji special mention
 
Daah!..ila kuna vitu vinastahili kuwa vivutio vya utalii haswaa
 
Suala la umeme ni mtambuka,
Ukiangali/soma/sikiliza Ile documentary ya "Men who Built America" Wanasema pamoja na umeme kugundulika miaka mingi nyuma, ila ulianza kutumika miaka ya 1878 kama majaribio kwenye nyumba yake mwenyewe Edson Tesla, Pia Cragside alijiwekea mwenyewe, na ule standard kabisa ulifanywa na Telsa kwenye nyumba ya Tajiri JP Morgan mwaka 1881 na kumalizika 82,

Hata google pia inajiachanganya..
 
Hakukuwa na Tanzania 1908. Tuwe wa kweli,

Tuseme ukweli, Unguja, Zanzibar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ