Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha umeme kwasasa upoMabanda umiza yatajaa sana.
Kwa nini umeme unakatwa siku kama ya leo ya Jumamosi
Hivi nani mwenye dhamana na umeme wa Tanesco?
Kwa sasa?Acha kupotosha umeme kwasasa upo
Nshasema katiba mpya inakuja na umeme na mshahara hamsikiiMabanda umiza yatajaa sana.
Kwa nini umeme unakatwa siku kama ya leo ya Jumamosi
Hivi nani mwenye dhamana na umeme wa Tanesco?
Wewe umeuliza nchi nzima kila kitongoji ukaambiwa umeme hakuna?Kweli?
Shithole personWewe umeuliza nchi nzima kila kitongoji ukaambiwa umeme hakuna?
Huku kwetu upo usitusemee aisee!Mabanda umiza yatajaa sana.
Kwa nini umeme unakatwa siku kama ya leo ya Jumamosi
Hivi nani mwenye dhamana na umeme wa Tanesco?
Wapi?Nchi nzima?
Huku kwetu upo usitusemee aisee!
Shinyanga!Wapi?
Jinga sana hili toa mada, ndo inafanya mpaka nchi ionekane ina vijana wa ovyo sanaNchi nzima?
Huku kwetu upo usitusemee aisee!
Hivi mkuu hapa ulikuwa unanifokea mimi au mwingine?Jinga sana hili toa mada, ndo inafanya mpaka nchi ionekane ina vijana wa ovyo sana
😂😂😂 Nilisema mtoa mada mkuuHivi mkuu hapa ulikuwa unanifokea mimi au mwingine?
Kwa hiyo umezunguka Tanzania umegundua hakuna umeme kote?acha husda hizoMabanda umiza yatajaa sana.
Kwa nini umeme unakatwa siku kama ya leo ya Jumamosi
Hivi nani mwenye dhamana na umeme wa Tanesco?