Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hii Nchi ina matatizo. Umeme mgawo, Maji mgawo! Tufaika kwelli??Hamna mbinu zozote za kupunguza makali ya mgao wa umeme. Umeme umekuwa ukikatwa saa sita usiku na kuwashwa saa 12 jioni.
January Makamba na naibu wake wamelidanganya bunge, waliahidi kuchepusha gesi asili kutoka kwenye njia ya mwekezaji na kuingiza kwenye njia ya TPDC, lakini hadi sasa maumivu ya mgao ni makali sana.
Na kitandani mgaoHii Nchi ina matatizo. Umeme mgawo, Maji mgawo! Tufaika kwelli??
Utawala wa mama umeshindwa kutatua kero za wananchi. Wacha tuendelee kuona kijungu kikipwagaWaziri anataka kuchepuka na umeme ??
Majibu rahisi kutoka maswali magumu.
Kama nakuona vile ulivyoshika mshumaa.😂😂😂Hamna mbinu zozote za kupunguza makali ya mgao wa umeme. Umeme umekuwa ukikatwa saa sita usiku na kuwashwa saa 12 jioni.
January Makamba na naibu wake wamelidanganya bunge, waliahidi kuchepusha gesi asili kutoka kwenye njia ya mwekezaji na kuingiza kwenye njia ya TPDC, lakini hadi sasa maumivu ya mgao ni makali sana.
hahahahahaNa kitandani mgao
Siku moja niliwahi kutukana sana hii wizara humu jamvini, kukawa na utetezi mwingi nikashangaa!Hamna mbinu zozote za kupunguza makali ya mgao wa umeme. Umeme umekuwa ukikatwa saa sita usiku na kuwashwa saa 12 jioni.
January Makamba na naibu wake wamelidanganya bunge, waliahidi kuchepusha gesi asili kutoka kwenye njia ya mwekezaji na kuingiza kwenye njia ya TPDC, lakini hadi sasa maumivu ya mgao ni makali sana.
Alisema mwendazake. Kumpa mwekezaji mradi wa umeme ni kuliua taifa. Sikiliza mkataba wa kuchepusha gesi ya mwekezaji utakalivyolitafuna taifa.Hamna mbinu zozote za kupunguza makali ya mgao wa umeme. Umeme umekuwa ukikatwa saa sita usiku na kuwashwa saa 12 jioni.
January Makamba na naibu wake wamelidanganya bunge, waliahidi kuchepusha gesi asili kutoka kwenye njia ya mwekezaji na kuingiza kwenye njia ya TPDC, lakini hadi sasa maumivu ya mgao ni makali sana.
Mwendazake aliua taifaAlisema mwendazake. Kumpa mwekezaji mradi wa umeme ni kuliua taifa. Sikiliza mkataba wa kuchepusha gesi ya mwekezaji utakalivyolitafuna taifa.
Aliuaje wakati huduma zote zilitolewa kwa viwango vya juu kuliko sasa. Ulimsikia waziri wa afya akilalamika bohari wamepewa fedha lakini hawanunui dawa, umeme ulikuwa 24/7, lakini leo tumeingia kwenye mgao.Mwendazake aliua taifa
2019 simu yangu iliungua kwa umeme kukata mara kwa Mara,tiliangalia mpira kwa jenereta Mara kwa Mara,hospitali na zahanati nyingi tu hazikua na dawa,sijui ilikua tz gani!?Aliuaje wakati huduma zote zilitolewa kwa viwango vya juu kuliko sasa. Ulimsikia waziri wa afya akilalamika bohari wamepewa fedha lakini hawanunui dawa, umeme ulikuwa 24/7, lakini leo tumeingia kwenye mgao. Huduma katika taasisi za umeme zimeanza kuwa za rushwa.
Utalawa wa mama umeshindwa kutatua kero za wananchi. Wacha tuendelee kuona kijungu kikipwaga
Waziri akumbushwe michepuko sio dili, hayo mambo ya kuanza kuchepusha umeme wanaweza kuunguza gridi nzima nchi ikae gizani mwezi mzimaHamna mbinu zozote za kupunguza makali ya mgao wa umeme. Umeme umekuwa ukikatwa saa sita usiku na kuwashwa saa 12 jioni.
January Makamba na naibu wake wamelidanganya bunge, waliahidi kuchepusha gesi asili kutoka kwenye njia ya mwekezaji na kuingiza kwenye njia ya TPDC, lakini hadi sasa maumivu ya mgao ni makali sana.