GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huwa napenda na kufurahi mno pale Wenye Akili Kubwa duniani na waliotutangulia Kimaendeleo duniani ( Wazungu ) wakituambia Waafrika ( GENTAMYCINE nikiweno ) ni Wapumbavu ( Mapopoma ) kwani huwa wanakuwa ( wako ) sahihi kwa 100%.
Na kinachoendelea Kuniuma zaidi GENTAMYCINE ni kwamba Mkoa huo huo wa Mtwara ( Tanzania ) kuna Utajiri mkubwa wa Gesi ya Asili ambao unaingia kwa 60% katika Gridi ya Taifa lakini bado hapo hapo utokako ( Mtwara ) bado kuna shida Kubwa ya Umeme.
Uwe tu na Ziara Njema huko Mtwara.
Na kinachoendelea Kuniuma zaidi GENTAMYCINE ni kwamba Mkoa huo huo wa Mtwara ( Tanzania ) kuna Utajiri mkubwa wa Gesi ya Asili ambao unaingia kwa 60% katika Gridi ya Taifa lakini bado hapo hapo utokako ( Mtwara ) bado kuna shida Kubwa ya Umeme.
Uwe tu na Ziara Njema huko Mtwara.