UMEME WA NGUO

UMEME WA NGUO

ashidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
291
Reaction score
340
Habari zenu wapendwa wangu wa humu ndani, ninahitaji kufahamishwa kuhusu jitendo cha baadhi ya nguo kuzalisha umeme, kwamfano unaweza kuchukua shuka au nguo yoyote usiku gizani halafu ikatoa Cheche za moto. Jambo hili najua kila MTU alishakutana nalo. Nijuzeni kwakina halihiyo husababishwa na Niki?
 
Nguo yoyote yenye material ya pamba org au inayokaribia hufanya hivyo, kiufupi sijajua ni kwanini. Hasa nguo laini za dukani mfano mashuka, vest hasa nyeupe.
 
Kuna siku nilijiungabisha nyaya mbili hasi Na chanya nikijua labda pengine mwili wangu unazalisha umeme😃
 
Nguo yoyote yenye material ya pamba org au inayokaribia hufanya hivyo, kiufupi sijajua ni kwanini. Hasa nguo laini za dukani mfano mashuka, vest hasa nyeupe.
Sawa ila natafta sababu
 
Hasa yale mashuka ya elfu kumi na mbili yanakuwa mawili na foronya zake,,ukifua mara moja tu yamepauka,, yanatisha kwa kutoa cheche unaweza ukachoma godoro
Hahaaaa eti unaweza choma godoro
 
Back
Top Bottom