permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Siku moja nilikagua simu ya binti fulani nikakuta kanisevu "Kobe" niliugua ghafla..
Safi sana mkuu hata wangu nambadilisha nilisave mama P,namba nyingine nikasave my love sasa hana sifa hizo namsave kinikia niwe nachenjua mchanga siku ziendeKinikia!
Safi sana mkuu hata wangu nambadilisha nilisave mama P,namba nyingine nikasave my love sasa hana sifa hizo namsave kinikia niwe nachenjua mchanga siku ziendeKinikia!
sema basi bby umemsave jina ganiAksante kwa kutukomesha na avata