Umemtongoza kabla ya game anakuambia anaomba pesa akachome sindano za UTI, utachukua uamuzi gani?

Umemtongoza kabla ya game anakuambia anaomba pesa akachome sindano za UTI, utachukua uamuzi gani?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Yamemkuta jamaa huko mtaani.

Kamtongoza kakubali, siku mbili hazijapita binti kasema anaumwa kamsaidia pesa akapime. Baadaye kaambiwa ni UTI, binti akaomba pesa ya sindano kamsaidia pesa kidogo.

Hii ni trick ya binti kuombea pesa kwamba si mgonjwa wa UTI au ni kweli anaumwa anahitaji msaada?

Au kamtajia UTI kwa sababu zingine tu?
 
Yamemkuta jamaa huko mtaani.
Kamtongoza kakubali, siku mbili hazijapita binti kasema anaumwa kamsaidia pesa akapime. Baadaye kaambiwa ni UTI, binti akaomba pesa ya sindano kamsaidia pesa kidogo.
Hii ni trick ya binti kuombea pesa kwamba si mgonjwa wa UTI au ni kweli anaumwa anahitaji msaada?
Au kamtajia UTI kwa sababu zingine tu?
[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa jamii forum itajuaje kama ni kweli ama la, mumesha ifanya jamii forum ni wapiga ramli sio
 
Bora huyo kasema kweli ana UTI kuliko vidudu mtu vingine vinakuacha uvagae tu mi UTI yao.

Kama uwezo upo unampa tu maana mwisho wa siku kama sio pesa ya sindano utatoleshwa pesa ya nywele, gas, voucher au hata kodi ikizingatiwa kitanzania mwanzo wa mahusiano ya mapenzi ndio mwanzo wa kila tatizo kwa mwanamke.

Kibongo bongo demu kutongozwa ni kama kupata kazi mpya. Anakuwa na matarajio ya dhiki zake zote kuisha kupitia huyo aliemtongoza.
 
Yamemkuta jamaa huko mtaani.

Kamtongoza kakubali, siku mbili hazijapita binti kasema anaumwa kamsaidia pesa akapime. Baadaye kaambiwa ni UTI, binti akaomba pesa ya sindano kamsaidia pesa kidogo.

Hii ni trick ya binti kuombea pesa kwamba si mgonjwa wa UTI au ni kweli anaumwa anahitaji msaada?

Au kamtajia UTI kwa sababu zingine tu?
Hiyo pesa kaila. huyo haumwi wala nn
 
Yamemkuta jamaa huko mtaani.

Kamtongoza kakubali, siku mbili hazijapita binti kasema anaumwa kamsaidia pesa akapime. Baadaye kaambiwa ni UTI, binti akaomba pesa ya sindano kamsaidia pesa kidogo.

Hii ni trick ya binti kuombea pesa kwamba si mgonjwa wa UTI au ni kweli anaumwa anahitaji msaada?

Au kamtajia UTI kwa sababu zingine tu?
Jamii Forum haimiliki na wala haita miliki U.T.I 🥴🥴🥴
 
Back
Top Bottom