M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,736
- 408
Kwa wale waliooa au hata wale ambao wanatarajia kuoa au kuolewa karibuni hebu nijuzeni kama huyo mwenzi wako umemuoa/kakuoa kwa kuwa mnapendana au ni kwa kuwa amekuonea huruma tu kwani akikuacha anaona utahangaika sana.
Hii ni hali halisi ambayo imemtokea rafiki yangu ambaye amefunga ndoa hivi karibuni kwa kinywa chake anakiri kuwa amemuoa huyo aliyemuoa kwa kuwa tu anamwonea huruma tu kwani walishakuwa katika uhusiano kwa takribani miaka saba lakini moyoni mwake anaona kuwa hana mapenzi nae.
Hii ni hali halisi ambayo imemtokea rafiki yangu ambaye amefunga ndoa hivi karibuni kwa kinywa chake anakiri kuwa amemuoa huyo aliyemuoa kwa kuwa tu anamwonea huruma tu kwani walishakuwa katika uhusiano kwa takribani miaka saba lakini moyoni mwake anaona kuwa hana mapenzi nae.