Umeniharibia maisha! ...what?


Ukifall in love basi penda 99% halafu reserve hiyo 1% kwamba anything can happen...hii itafanya uwe na bullet-proof soul kwani hata ukitoswa hutafikia hatua ya kuwa mbendembende. Lakini ukiingia 100% ndio hayo ukitoswa basi unakimbilia kujiua
 
Mkuu wewe ni mwandishi? Kama sio basi ningependa kukufahamisha kuwa ninaamini una kipaji cha uandishi. Hongera sana.
Kwa bahati nzuri nitawaachia ma-alwatan watoe mawazo yao katika hili.
 
Reactions: Mbu
Ukifall in love basi penda 99% halafu reserve hiyo 1% kwamba anything can happen...hii itafanya uwe na bullet-proof soul kwani hata ukitoswa hutafikia hatua ya kuwa mbendembende. Lakini ukiingia 100% ndio hayo ukitoswa basi unakimbilia kujiua
Mkuu asilimia moja ni ndogo sana, labda nibaki na 20 nimpe 80
 
Mbu kwa kutumbua majipu ya moyo.....Dah ngoja nizidi kutafakari na kufunguka.
 
I blv nthng is worth taking our precious lives. Betrayal, heartbrks a suposed 2 mk us stronger n beta. Whereva u thnk f suicide b'cz f pipo wh dnt nid u, thnk f thoz wh nid u! Nd thnk abt wat ure sngle lyf cud do 2 mk th wrld a beta place. Lastly thnk abt wat u cud do 4 u, ure goals, dreams, ambtns u had evn be4 u met th traitor! Thnx.
 
Mkuu wewe ni mwandishi? Kama sio basi ningependa kukufahamisha kuwa ninaamini una kipaji cha uandishi. Hongera sana.
Kwa bahati nzuri nitawaachia ma-alwatan watoe mawazo yao katika hili.

hapana kaka, mimi ni mfanyabiashara sokoni kariakoo (shimoni,) elimu yangu maisha na dunia.
Wanasema; 'kizuri kula na mwenzio,'...napendelea kubadilishana mawazo muda unaporuhusu.
Am humbled , nakusukuru sana kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…