Umeniteka kwako sijiwezi nyang'anyang'a

Ha ha haha..... He he he he.... Hiii...hi.hi....aisee...


 
Nimesikia sauti huku niliko
Mashairi haya yameletwa na ndege chiriku
Ameyaimba nje pembezoni mwa dirisha langu
Naita rabekha.... Mi ni mzima moyo wangu wachechemea
Umechoka kutanga tanga sasa umepata pa penzi kuhemea
Nlikuwa kama nmepigwa ganzi
Kwa maumivu na uchungu....

Moyo wangu sasa umefarijika kabisa kwa amani na mapenzi shanta shanta



Mwache GuDume wangu mimi
 
Ha ha haha..... He he he he.... Hiii...hi.hi....aisee...
Demiss kafa kaoza kwako kasema nisaidie kukuambia anakuogopa
Anaoensa swaga zako zinamuua yaan ujiongeze eti
 
Ujumbe wake nimeupata... Mimi mtu wa utamaduni simpigi mwanamke kwa fimbo...nampiga kwa ukuni.

Mwambie mi nmejaa tele... Mpaka namwagika. Nimeupokea ujumbe wake kwa mikono miwili...

Demiss kafa kaoza kwako kasema nisaidie kukuambia anakuogopa
Anaoensa swaga zako zinamuua yaan ujiongeze eti
 
Ujumbe wake nimeupata... Mimi mtu wa utamaduni simpigi mwanamke kwa fimbo...nampiga kwa ukuni.

Mwambie mi nmejaa tele... Mpaka namwagika. Nimeupokea ujumbe wake kwa mikono miwili...
Atapita hapa akusikie atafurahi sana anataka umpige ukuni peke yake yaan utosheke na yeye tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…