Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #121
Chezea Gudume wewe shababi haswa ,muda si mrefu nakusajili kwenye listi ya wanaume wa mkoani,dar byeeNimesikia sauti huku niliko
Mashairi haya yameletwa na ndege chiriku
Ameyaimba nje pembezoni mwa dirisha langu
Naita rabekha.... Mi ni mzima moyo wangu wachechemea
Umechoka kutanga tanga sasa umepata pa penzi kuhemea
Nlikuwa kama nmepigwa ganzi
Kwa maumivu na uchungu....
Moyo wangu sasa umefarijika kabisa kwa amani na mapenzi shanta shanta
Ndio hivyo atiAseee!
Sikupi kitu cha hovyo mimi na keshakupokea kwa mwili woteNaona unanigawia buree Gudume sio kwa sura lakeee lile kwenye Avatar [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yule sna uhakika kama ni msweet kama
Kama ni mzur usje nipa wassira baby
Gudume ni balaa siri yangu tuNimerejea ulipomsifia Gudume (kihisia) kuwa atakuwa mtamu. Ndo maana nikasema vile
Atapona tuAtapona mtu hapo kweli mama sabrina
Naona bahati ya mtende imekuangukia GudumeUjumbe wake nimeupata... Mimi mtu wa utamaduni simpigi mwanamke kwa fimbo...nampiga kwa ukuni.
Mwambie mi nmejaa tele... Mpaka namwagika. Nimeupokea ujumbe wake kwa mikono miwili...
Sawa Mama SabNdio hivyo ati
Aya mama kubwa langu yani we ukija dar nitakupa viuno vya ki Congo DRC!! Nitakupaka asali mwili mzima nitembee na ulimi unyooke yani utasahau kwenda mwanza!!!Sawa kibenten
well ....guess what ?.... sounds like she is the first gal to be in a fking relationship...Its mama Sabu again.
Jama the list hajapita pande hizi sijui kalalaRubbish
Siku kikinuka inakuwa kinyume chake kuna mtu ataambiwa anakibamia namwingine ataambiwa anabwawa hahahahaha..Bila shaka kazipata aiseee. We G ndio ujue sasa mama Sabrina hajiwezi huko aliko. Teh teh.
Kupenda na kupendwa siku zote kuna raha zake jamani lol sababu maneno matamu ya dunia nzima lazima kupeana hata yale mengine ambayo unaweza yawaza mara kumi kumi ila mwisho wa siku tunayaona yanatustahili.
Japokuwa siku kikinuka sasa. [emoji40]
Wacha weeeAya mama kubwa langu yani we ukija dar nitakupa viuno vya ki Congo DRC!! Nitakupaka asali mwili mzima nitembee na ulimi unyooke yani utasahau kwenda mwanza!!!
Furahi kaka anguPost zako zaniacha-ga mbavu sina
Ndio maanake Gucciwell ....guess what ?.... sounds like she is the first gal to be in a fking relationship...
Mimi hata nikichana na mtu sizungumzii maumbile kabisa maana najuanhata vibamia vinanitoshaSiku kikinuka inakuwa kinyume chake kuna mtu ataambiwa anakibamia namwingine ataambiwa anabwawa hahahahaha..
Bac sawa mama Sabrina naona mapenz mubashara moja waona kumi na mojaMimi hata nikichana na mtu sizungumzii maumbile kabisa maana najuanhata vibamia vinanitosha
Halaf ujue nini inatofautiana sana kuzidisha na kujumlisha
Sana tuFurahi kaka angu