kuzaliwa mwanaume na kazi ngumu kweli, pesa wautafuta kwa shida na kuituimia kwa shida.
hakuna furaha.
NB, dada zangu fahamuni unapoona mwanaume anakuhesabia misimbazi huku akitabasamu sio kwamba anafurahia, moyon ana uchungu, msipige mizinga usiyokuwa na ulazima mnatuvunja moyo.