kusaidiana ni muhimu lakini isiwe upande upande mmoja tu... halafu kero zaidi ni hiyo kwamba mtu akikupigia au kutext hakuna kitu kingine anachoongea zaidi ya kupiga mzinga.... hebu hizi shida tusizivalie kibwaya bana
we ulitaka akamuombe nan na wew ndie mpenz wake? Ha2wez jua ww ulijcmt nin cuz manen cku zot humfung mtu. Cku ya kwanza kua nae ulimpa ahad gan, zaid ya kumwmbia usihof am here 4u
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.