Umenitoka Moyoni..

Umenitoka Moyoni..

Sumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
7,001
Reaction score
6,194
Umenitoka Moyoni kwa kusema kweli!
nilikupenda sana kuliko mtu yeyote hapa Duniani lakini matendo yako..
yamenichosha sana unipigii simu mpaka uwenashida,uniambii unanipenda mpaka nikiwa natakakukupa Fedha
kila siku unashida na kuumwa hakuishi kweli unanipenda au unapenda Pesa zangu....
Mimi nilikupenda sana lakini nimeona bora niache kiende kuliko kuking'ang'ania kikaendelea kuniumiza kwakheri Mpenzi Wangu....
 
njo kwangu sinaga izo, ckuomb ela na ai lavu yu kila cku.
 
Kweli!..,maisha ya Sahvyi watu kama ninyi katika 10 ni 2 tu.
 
Pesa inatutesa sana wenye mapenz ya kweli@Angel.
 
Pesa yenyewe rahisi kuipata ukijituma. Unashindwa kuishi na mtu anayekupenda kutwa kuendekeza shida. Dah! pole sana, vizuri ameonyesha hiyo tabia kabla ya kuuvaa mkenge.
 
Asante!Pesa si tatizo lakini kwa mtu unayetaka kuwanaye maisha yako yote hutaweza ni bora uache kiende kitakuumiza baadae...,pesa ya sasa hataujitumaje ni ngumu kuipata.
 
RIP omba omba.
Ila ningekuwa mwanaume nikiombwa hela ningesepa. Mna kazi!
 
mkabidhi mastercard kabisa ili akipata shida akavute mwenyewe bila kukuombaomba kila wakati.. hakikisha account iko loaded full time, though
 
Hivi ni kwanini siku hizi kila mkasa wa mapenzi unahusiana na simu?
 
Stil i wonder...ivi kuna binti yeyote in town utamwambia mapenzi bla pesa akakuelewa...?
 
Kupendana kunaendana na kusaidiana. sasa kama ana shida unataka azipeleke wapi? Akiwapelekea wengine wamtatulie utalalmika kwa nini shida zake hakwambii!! Sasa amekuletea, wewe tatua! Kama huna uwezo useme tu umechemsha ili aende kwa wengine wamsaidie.

Kusaidiana katika mapenzi ndo mpango mzima!!! Kula na kuliwa!!
 
Hii ndio changamoto, anayekupenda humpendi unayempenda hakupendi!

Wengine wanaomba kupigiwa Simu, wengine wanaona wanasumbuliwa na misimu isiyoisha!

Pole kwa wote wenye situation kama yako!
 
Back
Top Bottom