Umeoa au umeolewa?

Umeoa au umeolewa?

Samahani kwa kuchelewa kufika kwenye huu Uzi......
Huwa nashangaa sana hizi threads za pale mtu anapo tamani kumjua mwingine kiundani, wakati huohuo yeye haja bainisha kwaupande wake kile chenye anataka wengine waweke wazi....

Naomba kuwasilisha
hahah, mkuu mimi nimeoa wake wawili, na vyuma vimelegea kwangu nampango wa kumaliza wawili wa mwisho nazani niwatolea humu jf... ndo michakato inasonga Pm uko
 
Siku mwanamke ningumu kusema anaboyfriend au mume....

Kwaiyo nikwenda nao ivo ivo
 
Back
Top Bottom