Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio


Hahahaa!! Mkuu napokea angalizo na ushauri wako
 
kwenye kutoa nyapu tuanze na wewe hivi unaweza ukakubali uwe na mtu saivi usipewe nyapu usubirie ndoa? japo jinsia yako siielew elew.
 
kwenye kutoa nyapu tuanze na wewe hivi unaweza ukakubali uwe na mtu saivi usipewe nyapu usubirie ndoa? japo jinsia yako siielew elew.
Mkuu katika comments zote hii yako imeyatoa meno yangu nje kwa kicheko. Kwa namna ulivyoiandika
 
Mkuu usipende kuhukumu watu wote kwa kosa la mtu mmoja na wala usipende kukariri maisha. Sio wote wako hivyo no malezi tu ukilelewa vizur waweza fika hata 30 years uko bikra unamaliza kusoma unaolewa. Lkn malezi yakiwa mabaya hata ukioa wa 15 years waweza mkuta na shimo km kaangukiwa na kimombo.
 
Ka! ka! Ka! Hatari sana mkuu. Kimondo!!!?
 
Mke mwema hupatikana kwa Mungu tu. hayo yote uliyoyaandika hayana ukweli wowote
 
Aisee, huwez kugeneralize k2 kama hicho kutokana na waschana unaowajua ww. Ulifanya maamuzi kwa fikra kama hizi lazima uumie
 
Mke mwema hupatikana kwa Mungu tu. hayo yote uliyoyaandika hayana ukweli wowote
Anapatikana kwa mungu? Maarifa ni muhimu sana. Ni mungu huyo huyo ambaye kila siku anawasikitikia watu wake wanaoangamia kwa kukosa maarifa. Ndiyo kusema nasisi tufanye mambo kwa kutumia ufahamu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…