Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya Nakuoa. Be true to yourself .external factors have something in your life Thad[emoji23] [emoji23] [emoji23] si mpaka nimpate wa kunioa? Nioe wewe ili niwe mama bora....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
External forces has nothing to do with my life. So i will marry when i want!
External factor kama ipi labda?Aya Nakuoa. Be true to yourself .external factors have something in your life Thad
Friends nkExternal factor kama ipi labda?
Unajenga vipi jamii kwa kuhukumu?!Hapana mkuu nimejitolea kutoa ushauri ili kujenga jamii iliyo bora
mkuu asante kwa kunilindaIngawa sio wanawake wote walio ktk umri huo wapo hivyo alivyosema mleta mada lakini asilimia kubwa wapo hivyo. Jamani ukweli ni mchungu sana lakini huyu chizi bin mwendawazimu bin kichaa kaongea ukweli tupu. Mleta mada nisamehe kwa kukuita majina mabaya na yasiyo kustahili. Dada zangu naomba mnisamehe lakini huu ndio ukweli. Najua humu wanaume wanaovizia wadada JF, au wale wenye wachumba, au walioa wanawake wa umri huo watamshambulia sana mleta mada na yeyeto anaye muunga mkono lakini hii haitabadili ukweli huu. Narudia tena naomba msamaha kwa wanawake walioguswa na mada hii.
Asante kwa kutia nyama kwenye uzi. Nakubaliana na weweMimi naongezea heri uoe mwanamke aliezaa watoto watatu kuliko uoe mwanamke aliewahi kutoa mimba angalau moja huyo ni mkosi na gundu. Nasubiri mapovu....
Sio wote man. Darasa linaweza kuwa na wasichana 50, af 10 ndo wanachukuliwa na vibabu nyie mnageneralize wote. Wapo waliotulia, ni wengi zaid sema huwajui coz huna time nao, umekomaa na vicheche tu. Chuo na mimi nimepitaWachache sana wanaoangukia nje ya hoja yangu. Ndiyo hao 5% niliyowatenga.
Fika mashuleni na vyuoni uone jinsi wanafunzi wa kike wanavyobebwa na mibaba. Hutoamini meno yako. Unaweza ukalia na ukagoma kumlipia mwnao ada. nayaongea haya kwa kuyaona. Kwenye mikusanyiko wadada wanakuwa ni vitoweo. Dunia Imevaa chupi
Utakuwa sio Mkristo ndio maana unakremisha dhambi wewe!Wachache sana wanaoangukia nje ya hoja yangu. Ndiyo hao 5% niliyowatenga.
Fika mashuleni na vyuoni uone jinsi wanafunzi wa kike wanavyobebwa na mibaba. Hutoamini meno yako. Unaweza ukalia na ukagoma kumlipia mwnao ada. nayaongea haya kwa kuyaona. Kwenye mikusanyiko wadada wanakuwa ni vitoweo. Dunia Imevaa chupi
Yaani huyu kaachwa na mchuchu wa 25yrs kaolewa na mtu mwingine sasa roho inamuuna anakuja kupumzikia huku!Dada zako wote wemeolewa wakiwa chini ya miaka 25?
Nashangaa anazani hatujapita vyuoni!..Sio wote man. Darasa linaweza kuwa na wasichana 50, af 10 ndo wanachukuliwa na vibabu nyie mnageneralize wote. Wapo waliotulia, ni wengi zaid sema huwajui coz huna time nao, umekomaa na vicheche tu. Chuo na mimi nimepita
Yeye ndo ananuksi anakuja kuwatusi wadada Wa watuYaani huyu kaachwa na mchuchu wa 25yrs kaolewa na mtu mwingine sasa roho inamuuna anakuja kupumzikia huku!
Sio kuchapiwa tu maisha yamempiga anasingizia wasichana hahahaWahuni wameshakuchapia mkuu pole sana...
Ila dogodogo watamu