sharifa mohamedi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 247
- 266
Mbona kila siku wanawake wanawake mala hivi mala vile duh tumewakosea nini kwani mbona nyinyi mnamapungufu kibao amyaongei tumechoka mtuache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume anachelewa sana kupata pesa kitu ambacho ni ulimbo kwa akina dada,mwanaume kupata mwanamke ni vigumu sana kama hela hana,mi nimeangalia hata mashuleni na vyuoni.. wanawake wanagongwa sana tena yawezekana na wanaume tofautitofauti wenye vipato,ila mwanaume anaweza ku-graduate hajagonga kivile..Nikweli ila hilo pia linatuhusu sisi wanaume. Unakuta mwanaume ameshatembea na wake zawatu kibao tegemea hata ww ukiowa mkeo atagongwa tuu
Nimetupa jiwe gizaniYeye ndo ananuksi anakuja kuwatusi wadada Wa watu
Safi sana mkuu, huo ndiyo ukweli wenyeweMwanaume anachelewa sana kupata pesa kitu ambacho ni ulimbo kwa akina dada,mwanaume kupata mwanamke ni vigumu sana kama hela hana,mi nimeangalia hata mashuleni na vyuoni.. wanawake wanagongwa sana tena yawezekana na wanaume tofautitofauti wenye vipato,ila mwanaume anaweza ku-graduate hajagonga kivile..
Wewe wasema.Yaani huyu kaachwa na mchuchu wa 25yrs kaolewa na mtu mwingine sasa roho inamuuna anakuja kupumzikia huku!
Najua mmepita ila hamtaki mnataka ukweli usiwekwe hadharani. Niliyoaandika ndiyo uhalisia.Nashangaa anazani hatujapita vyuoni!..
Uumerusha gizani alafu limekutwanga mwenyewe.Nimetupa jiwe gizani
Daudi aliyemuoa madam Flora (Mbasha)Kamuulize Diamond mkewe Zari ana miaka mingapi.
Nami nakubaliana nawe, ndiyo sabb nikaweka hiyo 5%sio wote ndg wengine wamejitunza vizr sana wanasubir wapate mume bora wasonge mbele;wadada wanaofanya machaf wapo n wazur pia wapo wengi tu
Siyo mfano wa kuigwa huo, na hawezi kutumika kama rejea ya upande chanya.Daudi aliyemuoa madam Flora (Mbasha)
Hehehe! Haya mkuu endelea kupingana na ukweliUumerusha gizani alafu limekutwanga mwenyewe.
Hawa washachukua laana na mikosi toka wanaume tofauti tofauti waliokuwa wapenzi wao huko nyuma. Na wengine wameacha machozi ya machungu kwa wanaume walio wekeza nguvu na rasilimali zao kwa wanawake hao wakijua watawaoa. Lakini mwishowe wakasalitiwa.
Kuna swali linaulizwa na wengi, "kwanini ndoa za miaka ya zamani zilidumu kuliko za sasa? " Jibu: wanawake wa zamani walijitunza na hivyo waliolewa wakiwa mabikra.
Hawa wa siku hizi wanakuwa washaharibiwa kila tundu asilia la mwilini ndiyo wanaolewa. Halafu ndiyo unaoa mwanamke kama huyu, kisha utegemee mafanikio na utangamano katika ndoa? Migogoro na mikosi itakuandama tu.
Mfano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani? Kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege. Unategemea ashachukua laana kiasi gani? Nyingine ziliingia kwa kunyonya, nyingine kwa kuruka ukuta na nyingine kuonyesha utupu kwa mtu mzima kuliko babake mzazi.
Wanawake wengi sana zaidi ya 95% ktk umri wa 25+ wanakuwa washapata mimba lakini huzitoa. Halafu anakuja humu na kujinasibu kwa kubana pua "nina miaka 26 sina mtoto". KE wa namna hii inabidi aulizwe ulimpeleka wapi mtoto? Kwenye nafsi yake lazima atakumbuka idadi kubwa ya watoto aliyowatupa chooni.
Ndugu yangu mwanamke wa namna hii utakuwa kila Unalolifanya linadunda maana umeoa nuksi.
USHAURI:
Ukitaka kuoa, oa mwanamke ambaye ni chini ya miaka 25 kiumri. Ana madhambi na laana chache. Na kila mipango utakayoipanga itafanikiwa kwa kuwa hakuna kikwazo ktk ndoa yako.
(JF ni mtambo wa kurekebisha tabia)
HAHA GOOD QUESTION,,, wacha mtoa mada aje ajibu hapa.Hv yule gig.... money ana miaka mingapi
heheh yule jamaa anajiita Young Dee sijui, kana miaka mingap vile?Wanaume huchelewa sana kuanza mchezo huu. Wengi wanakuwa hawajaanza kuwa na vipato vyao
tena anahitaji POLE KUBWA hasa..Utafiti wako umeufanyia wapi?na kwa sampling ipi[emoji2] [emoji2] sema umeumizwa sehemu unaleta machungu yako humu ndugu pole yako.