Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Fungua akili yako mkuu ili iwe tayari kupokea mambo mapya
Unavyoamini ndivyo inavyokuwa hivyo wewe tokea uwanze kochovya chovya umechovya wangapi ? Kwanini wenzio uone wa laana wewe huna laana hizo ni akili za kijinga zifute akili yako
 
Umeandika vizuri sana ingawa lazima vijana tubadilike tuache kuitumia miili yetu vibaya hasa kingono.
 
Nategemea uende kumchumbia Giggy Money ana miaka 19
 
Nategemea uende kumchumbia Giggy Money ana miaka 19
Sema umetolea mfano wa Giggy kwa kuwa hajatulia. Lakini ukioa binti wa umri huo aliyetulia ukaweka ndani unakuwa umelamba dume. Mwanamke akifikisha 23 hajaolewa hata kama alitulia vipi ataanza kugawa kwa hofu ya kuitaka ndoa. Sasa ukioa mwenye 26, 27, 28 , 29, 30, ... Unakuwa umeoa jalala la manii.
 
hasira zako za kuachwa unakuja kutumwagia povu
Kama umeguswa dunia ni tambala bovu na shule. Bado una nafasi ya kujirejebisha ili usije kujikuta maishani ni single mother.

KUACHWA KATIKA NDOA USIOMBEE unabakizwa kuwa kiruka njia
 
Mkuu hapo kwenye ushauri umesema vijana waoe wenye miaka 25 kushuka chini...halafu paragraph za juuu umeandika..kwamba miaka15 teyari binti ameshaanza kugegedwa..sasa najiuliza huyo wa miaka25 anafikaje umri huo bila kupitia hiyo miaka15...
Asante
 
Mkuu hapo kwenye ushauri umesema vijana waoe wenye miaka 25 kushuka chini...halafu paragraph za juuu umeandika..kwamba miaka15 teyari binti ameshaanza kugegedwa..sasa najiuliza huyo wa miaka25 anafikaje umri huo bila kupitia hiyo miaka15...
Asante
Hapo nimetenganisha shetani aliyeshindikana na shetani aliye nafuu. Kuna mlevi na mnywaji. Ni hayo tu mkuu.
 
Umeandika kama Sio wewe vile
Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIKUPI LIKE BRO. HUO NI MTAZAMO WALA SIKUKATALII LAKINI KUMBUKA HILI "SUCCESS IS THE MATTER OF AN INDIVIDUAL EFFORT TO THE EXTENT IN WHICH EACH PERSON DECIDE IN HIS OR HER OWN LIFE"

WHATEVER IT MAY JUST BE HAPPEN COMES FROM THE DESTINATION GOD

KUNA WATU WANA MADHAMBI ZAIDI YA KUTOA MIMBA MBONA WANA MAISHA MAZURI? UMEKUSANYA TAKWIMU ZA WATU WANGAPI AMBAO WAMEOA WANAWAKE ABOVE 25 NI MALOFA KISA MWANAMKE AU WANAISHI MIDDLE CLASS?

TUELEZE MAFANIKIO YAKO NA MKE WAKO ULIYENAYE SASA! ALAFU LETA REFERENCE ZA WATU WENGINE HAPA.

SAMAHANI KWA WALE MTAKAO KWAZIKA!
 
Mafanikio nini nini?
Yanapimwaje? Tuanzie hapo labda
 
Kwa kutoa mimbaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] Jama itakuwa alikuwa amelewa huyuu

Sent using Jamii Forums mobile app
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ labda. Mie naamini mafanikio yanaletwa na wewe mwenyewe kwa kujihangaisha kwako kuyatafuta, huwezi subiri mke mwenye miaka 18 ndio akuletee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…