Bwana Bongo
Senior Member
- Dec 12, 2021
- 146
- 212
- Thread starter
- #41
ss ni km ulivyo panda, unaweza sema watu wangap wamekupita soo be stroongKaka, ni mwezi huu mwanzoni.
Na ukiangalia kuna majanga yameniandama mwezi huu, Tena yamefululiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ss ni km ulivyo panda, unaweza sema watu wangap wamekupita soo be stroongKaka, ni mwezi huu mwanzoni.
Na ukiangalia kuna majanga yameniandama mwezi huu, Tena yamefululiza.
Ok.ss ni km ulivyo panda, unaweza sema watu wangap wamekupita soo be stroong
Nieleweshe mkuu nifanye kitu gani🙏🙏kuna level unapaswa kufika ujaelewa tu namaanisha nini?
unaimizwa tu kuwa ongeza juhudi uliko si mahala unatakiw kuwapoNieleweshe mkuu nifanye kitu gani[emoji120][emoji120]
Ahsante sana chiefunaimizwa tu kuwa ongeza juhudi uliko si mahala unatakiw kuwapo
Nimeota nakubaka mkuuumeota nini?
niambie ulichoota nikutafsirie maana ya hiyo ndoto.[emoji5][emoji5]
elimu hii mkuu si mzaha kalaga baoNimeota nakubaka mkuu
ongeza juhudi, uzuuiyaji unakutakaHii nfoto hua inajirudia, naota nakimbizwa(haijalishi kitu gani, inaweza kuwa mtu au mnyama) ila kila akinikaribia inabidi nipae nimuache, style ya kupaa naanza kwanza kukimbilia miguu minne kama chui halafu na take off kama ndege.
Kuna baadhi ya maadui nikipaa na wao wanapaa.
ila nikiona wamenikaribia sana hawakati tamaa nasema acheni ujinga najiamsha kutoka usingizini.
Uzuuiyaji ndio nini, kifo ama?ongeza juhudi, uzuuiyaji unakutaka
ni kama una kiuu na maji yapo alaf kuna watu awatk unywi kwa sababu zao binafsi pambana omba munguUzuuiyaji ndio nini, kifo ama?
Nipe njia nyingine, mungu nna bifu naeni kama una kiuu na maji yapo alaf kuna watu awatk unywi kwa sababu zao binafsi pambana omba mungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28] Aisee! Nimecheka sana sio poaTuko boarding tunapigania ndoo za kuogea, halafu nyingi zimepigwa makufuli chini ya vitanda.
ila kukawa na ndoo moja imezubaa ila tukiikimbilia tu mwenye nayo anatokeza from nowhere, halafu tunaiacha.
Tunarudi kutafuta tena baadae tuaniona tena ile ndoo imezubaa....tukiifuata tu, mwenye nayo anatokea from nowhere, yani kama anatutega vile
Achana nae bhanakila mar namuota Ex, majuzi nimemeota ananitambia kwamba huko alipo mambo shwari, jana nimeota nimepita maeneo fulani nikamkuta anaosha vyombo na kimuonekano alikuwa kidesign kama kachoka hivi then akawa kama akijaribu kunikwepa nisimuone na mimi nikajifanya kama sikumuona.