Umepanga chumba kimoja unaoa ili iweje?

Umepanga chumba kimoja unaoa ili iweje?

Tunalianzisha ivyo ivyo, mi nilioa nikiwa kwenye chumba kimoja baada ya mwaka tukapata katoto ka kwanza baada ya mwaka wa tatu kapili na Bado tupo kwa chumba chetu. Wakishua hawezi kuelewa hii maisha ya uswazi tunaishi
Hapo mzee ukirudi mtoto mnatumwa binzari na pilipili kiswaswa.. anaitafuta masaa matatu hajaipata
 
Hayo maisha ya kupanga na mke yana definition yake hayo. Wewe kama hujazaliwa uswahilini utayawazia tu. Mpaka uyaishi ndo utayapatia majibu mazuri. Mm naish uswahilin ila sina mke so nakosa idea kabisa

Uzoef wa kukaa huku ni balaa, ukishawah kuona kaka na dada wanalala chumba kimoja?
rejea mleta Mada, Jambo gani linalo fanya watanzania wengi tuwe shallow in reasoning and analyzing issue
1. Elimu duni?
2. IQ ya kurithi?
3. CCM?
4. Mazingira tunao ishi?
5. Lack of exposure.
Screenshot_20240820-074239.jpg
 
Vipi kuhusu privacy yenu mkibarikiwa kuwa na mtoto hapo mbeleni utabadilisha vipi nguo? Mtashiriki vipi tendo la ndoa?

Kwa hiyo,unayajua maisha yao,hawawezi kuhamia chumba na sebure au na zaidi,miaka yao yote.si ndo hivo? Na mbunge bungeni kumbuka anakuona kama huna akili,kwa sababu unafanya kazi tofauti na yeye.
Dreva wa lori,anakuona chokoraa.
Ndo maana na wewe waishio maisha ya tabu,unawaona leo hawajajipanga.
Lakini,wengi wameanza hata hicho kitanda hakimo,na wamefanikiwa pakubwa sana.
Bora wao wameamua kuishi kuliko kuendelea kumalizia hela zao bar na kwa malaya. Wamekuachia wewe.
Hivi,ngozi nyeusi huwa ina shida gani? Maisha ya watu kuyaingilia na kuyapangilia,kuna nini? Kwa nini? Ili iweje! Siku zote ukiingilia yasiyokuhusu, unaambulia majibu yasiyostahili.

Kuna baadhi ya vitu ukikaa ukawaza unaona kabisa ni kama tunaforce kufanya jambo kwa wakati usio sahihi mfano mzuri ni watu kuamua kuanzisha familia kwenye chumba kimoja.

Ni maisha ya aibu fikiria umetembelewa na rafiki, ndugu hata wakwe unawakaribisha wapi? Chumba kimoja umeweka kitanda, vyombo, ndoo za maji, mabegi yenu ya nguo, sofa, jiko kimsingi chumba kimejaa ingekuwa kwa mkapa wanasema full house.

Vipi kuhusu privacy yenu mkibarikiwa kuwa na mtoto hapo mbeleni utabadilisha vipi nguo? Mtashiriki vipi tendo la ndoa?

Conclusion Mwanaume unayeoa kwenye chumba kimoja ni wazi hujajipanga financially umeruhusu kuongozwa na matamanio ya kuoa tu huna plans.
 
Vipi kuhusu privacy yenu mkibarikiwa kuwa na mtoto hapo mbeleni utabadilisha vipi nguo? Mtashiriki vipi tendo la ndoa?

Kwa hiyo,unayajua maisha yao,hawawezi kuhamia chumba na sebure au na zaidi,miaka yao yote.si ndo hivo? Na mbunge bungeni kumbuka anakuona kama huna akili,kwa sababu unafanya kazi tofauti na yeye.
Dreva wa lori,anakuona chokoraa.
Ndo maana na wewe waishio maisha ya tabu,unawaona leo hawajajipanga.
Lakini,wengi wameanza hata hicho kitanda hakimo,na wamefanikiwa pakubwa sana.
Bora wao wameamua kuishi kuliko kuendelea kumalizia hela zao bar na kwa malaya. Wamekuachia wewe.
Hivi,ngozi nyeusi huwa ina shida gani? Maisha ya watu kuyaingilia na kuyapangilia,kuna nini? Kwa nini? Ili iweje! Siku zote ukiingilia yasiyokuhusu, unaambulia majibu yasiyostahili.
Wakifanikiwa kupiga hatua ya kumiliki nyumba kubwa basi ni jambo la heri kwao.. lakini hiyo haifanyi kuanzisha familia kwenye chumba kimoja kuwa maamuzi ya busara
 
Kuna baadhi ya vitu ukikaa ukawaza unaona kabisa ni kama tunaforce kufanya jambo kwa wakati usio sahihi mfano mzuri ni watu kuamua kuanzisha familia kwenye chumba kimoja.

Ni maisha ya aibu fikiria umetembelewa na rafiki, ndugu hata wakwe unawakaribisha wapi? Chumba kimoja umeweka kitanda, vyombo, ndoo za maji, mabegi yenu ya nguo, sofa, jiko kimsingi chumba kimejaa ingekuwa kwa mkapa wanasema full house.

Vipi kuhusu privacy yenu mkibarikiwa kuwa na mtoto hapo mbeleni utabadilisha vipi nguo? Mtashiriki vipi tendo la ndoa?

Conclusion Mwanaume unayeoa kwenye chumba kimoja ni wazi hujajipanga financially umeruhusu kuongozwa na matamanio ya kuoa tu huna plans.
Kwani mke hawezi kuenea kwenye chumba kimoja.

Kizazi cha sasa cha kiume ni hasara tupu
 
Back
Top Bottom