BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
- Thread starter
- #21
Huduma zipi kama umeshindwa kuafford chumba na sebule muishi comfortableMaisha sio finyuu kama akili zako, la muhimu ni huduma sio wingi wa vyumba.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huduma zipi kama umeshindwa kuafford chumba na sebule muishi comfortableMaisha sio finyuu kama akili zako, la muhimu ni huduma sio wingi wa vyumba.......
Hapo mzee ukirudi mtoto mnatumwa binzari na pilipili kiswaswa.. anaitafuta masaa matatu hajaipataTunalianzisha ivyo ivyo, mi nilioa nikiwa kwenye chumba kimoja baada ya mwaka tukapata katoto ka kwanza baada ya mwaka wa tatu kapili na Bado tupo kwa chumba chetu. Wakishua hawezi kuelewa hii maisha ya uswazi tunaishi
rejea mleta Mada, Jambo gani linalo fanya watanzania wengi tuwe shallow in reasoning and analyzing issueHayo maisha ya kupanga na mke yana definition yake hayo. Wewe kama hujazaliwa uswahilini utayawazia tu. Mpaka uyaishi ndo utayapatia majibu mazuri. Mm naish uswahilin ila sina mke so nakosa idea kabisa
Uzoef wa kukaa huku ni balaa, ukishawah kuona kaka na dada wanalala chumba kimoja?
hakikaMdogo mdogo sio wote wataweza ku afford nyumba nzima
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee ndoa inahitaji chumba kimoja tu, cha kunyanduana tu, vingine ni matokeo
Angalau hujaoa mkuuMi nimetoka nyumba ya rooms 2 sahivi mali zangu zote naziona mbele yangu.
Sitaki wageni kama kina financial services
Kuna baadhi ya vitu ukikaa ukawaza unaona kabisa ni kama tunaforce kufanya jambo kwa wakati usio sahihi mfano mzuri ni watu kuamua kuanzisha familia kwenye chumba kimoja.
Ni maisha ya aibu fikiria umetembelewa na rafiki, ndugu hata wakwe unawakaribisha wapi? Chumba kimoja umeweka kitanda, vyombo, ndoo za maji, mabegi yenu ya nguo, sofa, jiko kimsingi chumba kimejaa ingekuwa kwa mkapa wanasema full house.
Vipi kuhusu privacy yenu mkibarikiwa kuwa na mtoto hapo mbeleni utabadilisha vipi nguo? Mtashiriki vipi tendo la ndoa?
Conclusion Mwanaume unayeoa kwenye chumba kimoja ni wazi hujajipanga financially umeruhusu kuongozwa na matamanio ya kuoa tu huna plans.
Safi sana. Si bora huyu atakaezalia kwenye chumba kimoja,cha kupanga,kuliko baba yako aliyempeleka mama yako kwao akajifungulie huko? Na kweli ndo maana akili zipo hivo.Mi nimezaliwa kwa bibi ambapo haikuwa chumba kimoja
Wakifanikiwa kupiga hatua ya kumiliki nyumba kubwa basi ni jambo la heri kwao.. lakini hiyo haifanyi kuanzisha familia kwenye chumba kimoja kuwa maamuzi ya busaraVipi kuhusu privacy yenu mkibarikiwa kuwa na mtoto hapo mbeleni utabadilisha vipi nguo? Mtashiriki vipi tendo la ndoa?
Kwa hiyo,unayajua maisha yao,hawawezi kuhamia chumba na sebure au na zaidi,miaka yao yote.si ndo hivo? Na mbunge bungeni kumbuka anakuona kama huna akili,kwa sababu unafanya kazi tofauti na yeye.
Dreva wa lori,anakuona chokoraa.
Ndo maana na wewe waishio maisha ya tabu,unawaona leo hawajajipanga.
Lakini,wengi wameanza hata hicho kitanda hakimo,na wamefanikiwa pakubwa sana.
Bora wao wameamua kuishi kuliko kuendelea kumalizia hela zao bar na kwa malaya. Wamekuachia wewe.
Hivi,ngozi nyeusi huwa ina shida gani? Maisha ya watu kuyaingilia na kuyapangilia,kuna nini? Kwa nini? Ili iweje! Siku zote ukiingilia yasiyokuhusu, unaambulia majibu yasiyostahili.
Jibu hapo ni umaskin turejea mleta Mada, Jambo gani linalo fanya watanzania wengi tuwe shallow in reasoning and analyzing issue
1. Elimu duni?
2. IQ ya kurithi?
3. CCM?
4. Mazingira tunao ishi?
5. Lack of exposure.
View attachment 3074795
mimi naishi mke na watoto 2 chumba kimoja ila nafanyaga timing ya kubadili nguo na kuhusu kitumbua hayo mambo nimeshasahaugi kabisaNi maisha mabovu sana kiukwel. Ila kama cha kwako sio mbaya sana. Kun mwanangu alioa na watoto mapacha juu. Kwa kadri watoto wale wanavyokua na ndivyo moto mnamo kichwa chake unavyoongezeka
Kwani mke hawezi kuenea kwenye chumba kimoja.Kuna baadhi ya vitu ukikaa ukawaza unaona kabisa ni kama tunaforce kufanya jambo kwa wakati usio sahihi mfano mzuri ni watu kuamua kuanzisha familia kwenye chumba kimoja.
Ni maisha ya aibu fikiria umetembelewa na rafiki, ndugu hata wakwe unawakaribisha wapi? Chumba kimoja umeweka kitanda, vyombo, ndoo za maji, mabegi yenu ya nguo, sofa, jiko kimsingi chumba kimejaa ingekuwa kwa mkapa wanasema full house.
Vipi kuhusu privacy yenu mkibarikiwa kuwa na mtoto hapo mbeleni utabadilisha vipi nguo? Mtashiriki vipi tendo la ndoa?
Conclusion Mwanaume unayeoa kwenye chumba kimoja ni wazi hujajipanga financially umeruhusu kuongozwa na matamanio ya kuoa tu huna plans.