.mkuu had ww uelewi hili ngoja nikufafanulie bac; iko hv UDSM ndo imezaaa ardhi(zaman ilikuwa inaitwa UCLAS) mwaka2007, pia UDSM imezaa muhimbili university, na kama sikosei pia udsm ndo imeizaa Sua(zaman ilikuwa ni university of dar-es-salaam college of agricultre)!! Vyuo vyote hvyo vinajitemea vyenyewe sasa!! So ckatai hiyo duce,muce zako kwamba ni part of udsm had nw! Bt nahc ulikuwa hujanielewaaaa! Naomba kusahihishwaa kama nimekoseaa coz me binadamu
Hahahaaaaa basi itakuwa poa....babuuuuuuuu.....pia niko na best comedian makax yupo risk management
nawatakia masomo mema wote muliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali,lakini mkumbuke
1 40% yenu hamtapractices kozi mlizosomea
2 20% watakuwa wajasiliamali
3 20% yenu watashindwa kufanya kazi kwa digrii moja wataona bora wakasomee master immediate tu baada ya kuhitimu first degree
4 100% yenu mtakuja kubaini kumbe jina la chuo halina nafasi kwenye ajira
5 50% yenu mtabaini maisha ya chuo ni matamu(kale kaposho ka meal and accomodation)kuliko huku mtaani.
mkuu had ww uelewi hili ngoja nikufafanulie bac; iko hv UDSM ndo imezaaa ardhi(zaman ilikuwa inaitwa UCLAS) mwaka2007, pia UDSM imezaa muhimbili university, na kama sikosei pia udsm ndo imeizaa Sua(zaman ilikuwa ni university of dar-es-salaam college of agricultre)!! Vyuo vyote hvyo vinajitemea vyenyewe sasa!! So ckatai hiyo duce,muce zako kwamba ni part of udsm had nw! Bt nahc ulikuwa hujanielewaaaa! Naomba kusahihishwaa kama nimekoseaa coz me binadamu
Average ya 40% hapo ni kula bataaa ,ifm ni taasisi sio chuokikuu
mkapige buku co utakuwa na nani cjui nani....hali ya ukiduku uache kwenu... Think 100 times before you take a
decision, But once that decision is taken,
stand by it as one man.
― Muhammad Ali Jinnah
Umekosa cha kufanya leo kila sehemu unapondea ifm kila sehemu si useme tu roho inakuuma hukuchaguliwapo hiyo average ya 40 unafaham hata inapatikana vipi? Ebu toa utoto wako subiri ufile chuo ndo utajua kwanini average zinatofautiana
mkapige buku co utakuwa na nani cjui nani....hali ya ukiduku uache kwenu... Think 100 times before you take a
decision, But once that decision is taken,
stand by it as one man.
― Muhammad Ali Jinnah
chuo cha geto nimechaguliwa course ya JOBLESS
Umekosa cha kufanya leo kila sehemu unapondea ifm kila sehemu si useme tu roho inakuuma hukuchaguliwapo hiyo average ya 40 unafaham hata inapatikana vipi? Ebu toa utoto wako subiri ufile chuo ndo utajua kwanini average zinatofautiana
Sokoine-horticulture
HUJIELEWI WEWE! Average ya 40% ni ndogo kubali ukatae shule yako ni rahisi
pia MUCCOBS ni college co chuo kikuuu! Alafu poulee kama ujui me nipo UCLAS...ukipenda kiite ARU co ifm!! Note that kuhucu muccobs inatokana na Sua tuweke pemben coz ukicema hvyo na mm ntakuambiaa UCLAS(ARU) inatokana na UDSM!!! so lete fact co kudharau vyuo vya wenzakoooo mkuu mpigamsuli NB napenda challenge zakooo
Nakulaani usifikishe hata average ya 20
Hongeraa hapo ndo kuna shule ya maana ,average50%