.mkuu had ww uelewi hili ngoja nikufafanulie bac; iko hv UDSM ndo imezaaa ardhi(zaman ilikuwa inaitwa UCLAS) mwaka2007, pia UDSM imezaa muhimbili university, na kama sikosei pia udsm ndo imeizaa Sua(zaman ilikuwa ni university of dar-es-salaam college of agricultre)!! Vyuo vyote hvyo vinajitemea vyenyewe sasa!! So ckatai hiyo duce,muce zako kwamba ni part of udsm had nw! Bt nahc ulikuwa hujanielewaaaa! Naomba kusahihishwaa kama nimekoseaa coz me binadamu
umeongea kwa fact upo sahihi , safi sana.