Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Namba 3 haiwezi kutokea sababu uchumi wako ni chini ya 10M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nipe 10Hapa nilipo siwezi kupata emergency ya 10m, emergency zangu hazijawahi kuzidi 200k
Unaiwekeza kabla ya majangaUtt watanipaje hela
Sina ht 100Hebu nipe 10
Unaongelea milioni kumi wakati watu hata pesa ya kula kesho hawana. Kutavokucha Mungu ataleta ridhikiUmepatwa na emergence inayohiitaji pesa cash milioni 10 ndani ya lisaa
1. Tatizo la kiafya (Kufa au kupona)
2. Mapolisi (Ujichomoe haraka au kifungo cha maisha)
3. Mtoto katekwa (wakivuka mpaka wa nchi ndo bas tena)
n.k.
Ndio maana mtoto mzuri Lamomy alikukimbia🏃🏃🏃Sina ht 100
Hizo hesabu ni za ku maintain maisha ya kawaida bila kutetereka kwa miezi 6 kwa familia ya baba, mama na mtoto mmoja.Basi kwa hapa bongo hata watumishi wa serikali wa kada za chini hawajafikia standard life.
Wengi kipato wanachopata ni kwa ajili ya kuendeshea maisha tu.
Kipindi kile cha korona kilituvua nguo kwamba sekta binafsi hawawezi kusavaivu kwa miezi miwili kutegemea mshahara.
Kwa maisha standard ya sasa unatakiwa kuwa na access ya shilingi milioni 80 mpaka 100 ya haraka wakati wowote. Bila kumsumbua mtu, kuomba mkopo, wala kuharibu biashara zako zingine
Zipo ila umezitoa tu kwamba zipo nje ya bajeti yako na maisha yako.Hapa nilipo siwezi kupata emergency ya 10m, emergency zangu hazijawahi kuzidi 200k
Upo sahihi mkuuZipo ila umezitoa tu kwamba zipo nje ya bajeti yako na maisha yako.
Ukipata ugonjwa (sikuombei iwe hivyo, natoa mfano tu) wa kutakiwa usafirishwe hata hapo India tu kwa matibabu, hiyo ni emergency lakini sasa hujaiweka katika bajeti yako kwa sababu umeona hayo si maisha yako.
Watekaji dawa yao unawaambia tu sitoi hata senti njooni mnichukue na mimi hata mniue mnimalizie matatizo ya dunia.Kwa mtoto hapo nitabargain na watekaji wanipunguzie kutoka million 10 hadi elfu 50, nitawaruhusu wampunguze hata masikio ili bei ishuke, hiyo 50k yenyewe kuna sehemu nimekopa saa hiyo
Kweli 10M nyingi sana, niliwahi kupata emergency ya 20k sikutoboaUnaongelea mil 10? Wengine hata kesi ya laki hatutoboi!
Uzuri wake matatizo huwa yanakuja proportional na uwezo wako!
Eeeh..nchi ina miaka 60+ years old bado watu wanakunywa mavi? Duh..Sijasema wanafika, nimesema kwa maisha ya standard ndiyo unatakiwa kuwa hivyo.
Sasa wengi bado wanakufa kwa kipindupindu Simiyu huko Meatu, maana yake wanakula au kunywa mavi bado, hayo si maisha ya standard.
Not Yet Uhuru.Eeeh..nchi ina miaka 60+ years old bado watu wanakunywa mavi? Duh..