Umepiga ‘Kenchi’ kweli, au Umepigwa? Hivi ndivyo Wateja wa Mbao wanavyotapeliwa Mitaani

Umepiga ‘Kenchi’ kweli, au Umepigwa? Hivi ndivyo Wateja wa Mbao wanavyotapeliwa Mitaani

Huu sio utapeli bali ni ushenzi na kujiweka katika moja ya nchi masikini duniani
Sisi kupanda chart hatuwezi kabisa
Majirani wanatupita kwa mengi sana
Hamuwezi kufika popote kwa ujinga huu na wala sio ujanja

Serikali inajitahidi kutuma watu ila nao wanahongwa na kurudi mifuko imetuna

Tuache hilo, nimenunua makopo ya Kahawa Africafe ambapo ile ya zamani yaani ukiifunua mfuniko tu harufu unaikubali

Nimechukua makopo 6 na kusafiri nayo nikitegemea ni zile kahawa nazijua Lahaulaaaa nimeipigwa

Yaani haina harufu kabisa ya kahawa na nimezitupa zote
Swali je soko lenu mnafurahia liwe hivyo? Na je wahusika wanasemaje kuhusu hilo?

Mnategemea kweli kupata fedha za kigeni kwa mtindo huu? Au mnapenda kuwa mnalipishwa makodi ya ajabu ajabu kisa hela hakuna Serikalini na hakuna dollars za nje ?


Kwa ujinga huu acha mdaiwe mpaka kodi za magorofa
 
Nunua mbao ambazo sio za Dawa kisha tafuta hii.
Screenshot_20230130-163529_Facebook.jpg
 
Mimi wakati nilishauriwa na fundi kununua mbao ambazo hazina dawa baadae nikanunua dawa inaitwa tusker niliuziwa lita Moja sh 60,000/= halafu wakazitibu. Sasa sijui ni sawa nzuri au nilipigwa? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi wakati nilishauriwa na fundi kununua mbao ambazo hazina dawa baadae nikanunua dawa inaitwa tusker niliuziwa lita Moja sh 60,000/= halafu wakazitibu. Sasa sijui ni sawa nzuri au nilipigwa? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂We ulishapigwa subiri Mwaka upite uone unga
 
Huu sio utapeli bali ni ushenzi na kujiweka katika moja ya nchi masikini duniani
Sisi kupanda chart hatuwezi kabisa
Majirani wanatupita kwa mengi sana
Hamuwezi kufika popote kwa ujinga huu na wala sio ujanja

Serikali inajitahidi kutuma watu ila nao wanahongwa na kurudi mifuko imetuna

Tuache hilo, nimenunua makopo ya Kahawa Africafe ambapo ile ya zamani yaani ukiifunua mfuniko tu harufu unaikubali

Nimechukua makopo 6 na kusafiri nayo nikitegemea ni zile kahawa nazijua Lahaulaaaa nimeipigwa

Yaani haina harufu kabisa ya kahawa na nimezitupa zote
Swali je soko lenu mnafurahia liwe hivyo? Na je wahusika wanasemaje kuhusu hilo?

Mnategemea kweli kupata fedha za kigeni kwa mtindo huu? Au mnapenda kuwa mnalipishwa makodi ya ajabu ajabu kisa hela hakuna Serikalini na hakuna dollars za nje ?


Kwa ujinga huu acha mdaiwe mpaka kodi za magorofa
Sasa hivi Wafanyabiashara wana ushenzi wa kuivisha ndizi kwa umeme, yani unakula ndizi zikiwa zimeiva lakini hazina harufu halisi za kunukia zaidi ya ladha ya uchanga changa sababu zilikuwa hazijaiva kwa wakati isipokuwa zimelazimishwa kuiva kwa umeme kabla ya wakati wake halisi.

Bongo si salama kwa afya za Binadamu kabisa kidunia maana si kwa laana hizi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mimi wakati nilishauriwa na fundi kununua mbao ambazo hazina dawa baadae nikanunua dawa inaitwa tusker niliuziwa lita Moja sh 60,000/= halafu wakazitibu. Sasa sijui ni sawa nzuri au nilipigwa? [emoji23][emoji23][emoji23]

Uko sawa mm pia nimenunua kwa kijana wa SAOHILL. Bei ndio iyo iyo tu. Nusu lita ya dawa unaweka ndoo 15 za maji.Nimetumia NUSU tu. Dawa iliyo changanywa Baada ya kutumia ikabakia kama DUMU 3 nikaweka kwenye MSINGI wa nyumba kuzungushia kwa ndani ili kuzibiti mchwa. Ninavyo ongea hv hapo kwangu ni HISTORY tu kuhusu mchwa kisha kabisa. Mpk raha
 
Sasa hivi Wafanyabiashara wana ushenzi wa kuivisha ndizi kwa umeme, yani unakula ndizi zikiwa zimeiva lakini hazina harufu halisi za kunukia zaidi ya ladha ya uchanga changa sababu zilikuwa hazijaiva kwa wakati isipokuwa zimelazimishwa kuiva kwa umeme kabla ya wakati wake halisi.

Bongo si salama kwa afya za Binadamu kabisa kidunia maana si kwa laana hizi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Usiongee kitu usichokijua.
haya tueleze umeme unaivishaje ndizi?
Unazipasha moto zibabuke?
 
Sasa hivi Wafanyabiashara wana ushenzi wa kuivisha ndizi kwa umeme, yani unakula ndizi zikiwa zimeiva lakini hazina harufu halisi za kunukia zaidi ya ladha ya uchanga changa sababu zilikuwa hazijaiva kwa wakati isipokuwa zimelazimishwa kuiva kwa umeme kabla ya wakati wake halisi.

Bongo si salama kwa afya za Binadamu kabisa kidunia maana si kwa laana hizi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hii kali aisee
Yaani mbinu za kipumbavu kabisa
Ni kama wale ng'ombe wananenepeshwa kwa madawa ya Ukimwi na mbolea ya mazao

Tanzania nchi yenye mito, Milima, Maziwa na maporomoko ila wameshindwa kuwa na mashamba ya umwagiliaji huku kila siku wanaharibu ardhi kwa kupitisha mifugo kila sehemu mpaka panakuwa na ukame

Serikali haina mikakati yoyote huku mawaziri wa ardhi na kilimo wanapiga hela za eka moja 15m what a crooks

Watu wanadanganywa kila siku ndio maana ujinga kama huu unatokea wa kuivisha hivyo kwa sababu msimu ni mmoja tu tena wa kusubiria mvua
 
Sasa hivi Wafanyabiashara wana ushenzi wa kuivisha ndizi kwa umeme, yani unakula ndizi zikiwa zimeiva lakini hazina harufu halisi za kunukia zaidi ya ladha ya uchanga changa sababu zilikuwa hazijaiva kwa wakati isipokuwa zimelazimishwa kuiva kwa umeme kabla ya wakati wake halisi.

Bongo si salama kwa afya za Binadamu kabisa kidunia maana si kwa laana hizi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Duh!...hii kali
 
Back
Top Bottom