Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
😂😂😂Ata yeye hajakamilika mbnWapo wachina?
Tegeta sehemu gani?
Mbona maelezo yako yapo nusu nusu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Ata yeye hajakamilika mbnWapo wachina?
Tegeta sehemu gani?
Mbona maelezo yako yapo nusu nusu?
pale pembeni ya kituo cha Magufuli?Tembelea maeneo ya stendi ya mbezi, zinakopaki gari zakwenda goms,, zipo mashine hizo kama incubator lkn ni maalum Kwa ndizi!
Kwa kujazia, nunua mbao toka kampuni ya Serikali, (TWICO). Hawa hawachakachui. Wana matawi yao Dar (nadhani Tegeta wana tawi pia) na Buguruni pale.Shukran mkuu
😂😂pale pembeni ya kituo cha Magufuli?
Nonetheless pale chini nadhani, haya tueleze zinaivisha ndizi kwa masaa mangapi?
Wacha ubishiWapo wachina?
Tegeta sehemu gani?
Mbona maelezo yako yapo nusu nusu?
Wewe huna tofauti na hao. Wabongo wana ujinga mwingi sana wa kushikilia ya kusikia.Wacha ubishi
Banana ripening chamber ,katafute maelezo mwenyewe huko ,unachosha watu Kwa ubishi na ujuaji
Ccm au yangaUkiona rangi ya kijani jua Kuna utapeli
Tusanue mkuu, inauzwa wapi hii dawa tujitose?Uko sawa mm pia nimenunua kwa kijana wa SAOHILL. Bei ndio iyo iyo tu. Nusu lita ya dawa unaweka ndoo 15 za maji.Nimetumia NUSU tu. Dawa iliyo changanywa Baada ya kutumia ikabakia kama DUMU 3 nikaweka kwenye MSINGI wa nyumba kuzungushia kwa ndani ili kuzibiti mchwa. Ninavyo ongea hv hapo kwangu ni HISTORY tu kuhusu mchwa kisha kabisa. Mpk raha
Hii tusker iko wapi mkuu na unapaka kabla au baada ya kupaua, embu naomba namba za fundi asee kama ni wa hapa daslam. Shukrani kwa elimu!Mimi wakati nilishauriwa na fundi kununua mbao ambazo hazina dawa baadae nikanunua dawa inaitwa tusker niliuziwa lita Moja sh 60,000/= halafu wakazitibu. Sasa sijui ni sawa nzuri au nilipigwa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii tusker iko wapi mkuu na unapaka kabla au baada ya kupaua, embu naomba namba za fundi asee kama ni wa hapa daslam. Shukrani kwa elimu