Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Sasa tufanyeje mkuu maana ata madaktari wanasema ule matundaSasa hivi Wafanyabiashara wana ushenzi wa kuivisha ndizi kwa umeme, yani unakula ndizi zikiwa zimeiva lakini hazina harufu halisi za kunukia zaidi ya ladha ya uchanga changa sababu zilikuwa hazijaiva kwa wakati isipokuwa zimelazimishwa kuiva kwa umeme kabla ya wakati wake halisi.
Bongo si salama kwa afya za Binadamu kabisa kidunia maana si kwa laana hizi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndugu usikurupukie usilolijua.Usiongee kitu usichokijua.
haya tueleze umeme unaivishaje ndizi?
Unazipasha moto zibabuke?
Wapi? Tueleze sehemu moja tu hapa Tanzania wanakoivisha ndizi wachina.Ndugu usikurupukie usilolijua.
Kuna ndizi zinaivishwa kwa umeme na wachina.
Ww pimbi acha ubishiWapi? Tueleze sehemu moja tu hapa Tanzania wanakoivisha ndizi wachina.
Swali langu la msingi hujalijibu. Umeme unaivishaje ndizi?
Unaweza kupaka creosote ama copper Nitrate. Wengine wanapaka oili chafu.Baada ya kupigwa kwa kununua mbao za rangi ya ukindu na ukiwa ushaweka kenchi,kuna suluhisho lingine kuokoa hizo mbao au ni kubadilisha mbao zote?
Daaaah halafu umenifumbua macho Ile dawa iliyobaki sikuichukua nami nijaze kwenye madumu nikamwage kwangu. Washenzi wale nahisi walichekelea sana kuiacha dawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uko sawa mm pia nimenunua kwa kijana wa SAOHILL. Bei ndio iyo iyo tu. Nusu lita ya dawa unaweka ndoo 15 za maji.Nimetumia NUSU tu. Dawa iliyo changanywa Baada ya kutumia ikabakia kama DUMU 3 nikaweka kwenye MSINGI wa nyumba kuzungushia kwa ndani ili kuzibiti mchwa. Ninavyo ongea hv hapo kwangu ni HISTORY tu kuhusu mchwa kisha kabisa. Mpk raha
Shukran mkuuUnaweza kupaka creosote ama copper Nitrate. Wengine wanapaka oili chafu.
Unauzaje?Natengeneza Dawa Kali Sana Ya Kuangamiza Wadudu Kama Mchwa Nyoka Mende nk na Kutibu Mbao na Miti ya Kujengea.
Tembelea maeneo ya stendi ya mbezi, zinakopaki gari zakwenda goms,, zipo mashine hizo kama incubator lkn ni maalum Kwa ndizi!Wapi? Tueleze sehemu moja tu hapa Tanzania wanakoivisha ndizi wachina.
Swali langu la msingi hujalijibu. Umeme unaivishaje ndizi?
Wanaivishia TegetaWapi? Tueleze sehemu moja tu hapa Tanzania wanakoivisha ndizi wachina.
Swali langu la msingi hujalijibu. Umeme unaivishaje ndizi?
😂😂😂😂Tegeta kuna mmbo huku mara broiler mara ndizi sasa tutapona kwer apaWanaivishia Tegeta
Tushaifunga TuacheWazee nimerudi kwenye hii mada
Utajuaje kuwa mbao ulizonunua zimepakwa rangi ya ukindu na Wala sio tanalith C
Wapo wachina?Wanaivishia Tegeta
Tuko mbinguni tayari, sema hukumu ndia hazijaanza.Mfanyabiashara na Ufalme wa Mbinguni ni Maji na Moto.