Umesema Hauna kampuni hata ya bajaji una uhakika? Vikimwagwa vielelezo usianze kulialia...

Umesema Hauna kampuni hata ya bajaji una uhakika? Vikimwagwa vielelezo usianze kulialia...

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nimemsikia mangi wa iramba , anasema Hana hata kampuni ya bajaji ....kuwa na biashara au kampuni sio kosa ikiwa ni halali...wabunge wengi tu Wana makampuni ya magari na viwanda halali na wanalipa Kodi ..sio kosa ila unapokataa kisiasa unatutia mashaka uko tayari endapo watu wakamwaga vielelezo? Kwanza haukuwa na haja hata ya kuzungumzia Hilo ila ngoja na sisi tujaribu kuongezea Kuni Ili ugali uive tuone kama tutashiba!!
 
Screenshot_20220830-151022_WhatsApp.jpg
 
Nimemsikia mangi wa iramba , anasema Hana hata kampuni ya bajaji ....kuwa na biashara au kampuni sio kosa ikiwa ni halali...wabunge wengi tu Wana makampuni ya magari na viwanda halali na wanalipa Kodi ..sio kosa ila unapokataa kisiasa unatutia mashaka uko tayari endapo watu wakamwaga vielelezo? Kwanza haukuwa na haja hata ya kuzungumzia Hilo ila ngoja na sisi tujaribu kuongezea Kuni Ili ugali uive tuone kama tutashiba!!
Tungekuwa na Waziri Mkuu mkali huyu sahivi asingekuwepo
 
Kwanza atuonyeshe fomu za maadili alizojaza za umiliki mali
huenda ni mmoja kati ya waliozikimbia fomu
 
Huyu mangi haisee zarau zimemzidi anasema wananchii ndoo tulimtuma aweke matozo.Hii kauri bado inathibitisha pasinashaka kuwa ana PhD ya kiburi.
 
NAMPA MWIGULU NCHEMBA MASAA 24 ajitokeze hadharani kukiri kuwa ana kampuni ya mabasi anayomiliki kabla sijamwaga ushahidi hapa. Period!
We leta tu ushahidi...acha mikwara...shusha nondo kesho atakuwa huko kwao analima
 
Back
Top Bottom