Umesema Hauna kampuni hata ya bajaji una uhakika? Vikimwagwa vielelezo usianze kulialia...

Umesema Hauna kampuni hata ya bajaji una uhakika? Vikimwagwa vielelezo usianze kulialia...

Nimemsikia mangi wa iramba , anasema Hana hata kampuni ya bajaji ....kuwa na biashara au kampuni sio kosa ikiwa ni halali...wabunge wengi tu Wana makampuni ya magari na viwanda halali na wanalipa Kodi ..sio kosa ila unapokataa kisiasa unatutia mashaka uko tayari endapo watu wakamwaga vielelezo? Kwanza haukuwa na haja hata ya kuzungumzia Hilo ila ngoja na sisi tujaribu kuongezea Kuni Ili ugali uive tuone kama tutashiba!!
Mdogo mdogo ya sirini yatakuwa bayana..!
 
Nimemsikia mangi wa iramba , anasema Hana hata kampuni ya bajaji ....kuwa na biashara au kampuni sio kosa ikiwa ni halali...wabunge wengi tu Wana makampuni ya magari na viwanda halali na wanalipa Kodi ..sio kosa ila unapokataa kisiasa unatutia mashaka uko tayari endapo watu wakamwaga vielelezo? Kwanza haukuwa na haja hata ya kuzungumzia Hilo ila ngoja na sisi tujaribu kuongezea Kuni Ili ugali uive tuone kama tutashiba!!
Mwaga evidence.
 
Huyu jamaa anajidai kakulia maisha ya shida eti kuku robo amejua akiwa serikalini anasema paja LA kuku waligawana watoto saba kweli ? sasa mbona plan zake zote za kumnyonya mnyonge
Usishangae mkuu.

Huyu atakuwa wale jamaa wepesi kusahau walipotoka baada ya kufanikiwa.
 
Nimemsikia mangi wa iramba , anasema Hana hata kampuni ya bajaji ....kuwa na biashara au kampuni sio kosa ikiwa ni halali...wabunge wengi tu Wana makampuni ya magari na viwanda halali na wanalipa Kodi ..sio kosa ila unapokataa kisiasa unatutia mashaka uko tayari endapo watu wakamwaga vielelezo? Kwanza haukuwa na haja hata ya kuzungumzia Hilo ila ngoja na sisi tujaribu kuongezea Kuni Ili ugali uive tuone kama tutashiba!!
viletwe tu hivyo vielelezo, kukana wakati ni vyake kwamaana hiyo hajaipata kihalali
 
Hii inji inawakuda kwa wingi si Bure,mtu anakurupuka anapinga hushahidi hana alimradi tuh achafue Hali ya hewa Kwa kutyp ushuzi
 
Huyu mangi haisee zarau zimemzidi anasema wananchii ndoo tulimtuma aweke matozo.Hii kauri bado inathibitisha pasinashaka kuwa ana PhD ya kiburi.
Hakuna Mangi Mpumbavu hivyo huyu ( huyo ) ni Mnyiramba kutokea Mkoani Singida.
 
Nimemsikia mangi wa iramba , anasema Hana hata kampuni ya bajaji ....kuwa na biashara au kampuni sio kosa ikiwa ni halali...wabunge wengi tu Wana makampuni ya magari na viwanda halali na wanalipa Kodi ..sio kosa ila unapokataa kisiasa unatutia mashaka uko tayari endapo watu wakamwaga vielelezo? Kwanza haukuwa na haja hata ya kuzungumzia Hilo ila ngoja na sisi tujaribu kuongezea Kuni Ili ugali uive tuone kama tutashiba!!
Ana Waganga wa Kienyeji zaidi ya Saba ( 7 ) kwanini asiringe na asijiamini? Bi. Chifu Tozo Mwenyewe ameshawekwa Kiganjani mwake na kila akiwaza Kumtumbua anajikuta anamsahau tu.
 
Back
Top Bottom