True, sasa wale wanaotongozwa na ku entertain flirts za wajuba inakuwaje?Mapenzi ya mwanamke kwako ndio kigezo kikuu cha uaminifu wake
Ukimpenda mwanaume kweli kweli hutomsaliti hata siku 1 hata ubanwe na hamu vipi
kama hakupendi hata awe na low libido atatoka tu kutafta faraja kwa mwingine
that depends na the way unam treat mwanamke wako, wengine hawana muda na wapenzi wao kabisa while at the same time mwanamke anahitaji sana muda wako kama haupo busy, na mwanamke wako hapati hizo care, wala muda wako wala compliments zozote kutoka kwako, wengi ndo huishia kuwa entertainers.!!Swala dogo, mi siamini juu ya urafiki wa mpenzi wangu na wanaume wengine nikiwa niko nae kwa relationship. Im never into that shit, kama we ni entertainer wa hilo jua kutakuwa na migongano at some point.
Aisee mkuu umenichekesha sanaNiliwahi kuñywa pombe nikapaaliwa na nikatapika kabisa nikasema uhusiano wangu na pombe ndo umeisha hapo hapo kwanza hazitonifikisha mbali
Ila baadae kidogo nilipasha kiporo na mpenz pombe tukarudiana kwa kasi ya 4G kasi ya upepo wa kisulisuli
Muda kivipi, we do talk ikibidi japo sio muda wote. Kuna muda wa majukumu tunakuwa busy. But jioni niko home we talk kabla sijaenda lala. Asubuhi we talk againthat depends na the way unam treat mwanamke wako, wengine hawana muda na wapenzi wao kabisa while at the same time mwanamke anahitaji sana muda wako kama haupo busy, na mwanamke wako hapati hizo care, wala muda wako wala compliments zozote kutoka kwako, wengi ndo huishia kuwa entertainers.!!
Mtu anayependa ngono huyo tayari anapepo la ngono na atakusaliti tu wala haipingiki hata kama anakupenda sana sababu hamu ikimshika lazima afanye ngono ili atulize pepo lake. Kila mtu anafanya au ameshawi kufanya ngono ila linapokuja suala la kupenda ngono tayari hapo upo kwenye ulimwengu mwingine. Sasa mtu hawezi kukaa hata wiki moja bila kufanya ngono, sasa huyo atavumilia kweli hata kama anakupenda? Big NOMapenzi ya mwanamke kwako ndio kigezo kikuu cha uaminifu wake
Ukimpenda mwanaume kweli kweli hutomsaliti hata siku 1 hata ubanwe na hamu vipi
kama hakupendi hata awe na low libido atatoka tu kutafta faraja kwa mwingine
Tatizo wamekaza na mpe hela tuu we mpe helaa tu, mpe tena hela wakidhani hela ndio kila kitu kwetuthat depends na the way unam treat mwanamke wako, wengine hawana muda na wapenzi wao kabisa while at the same time mwanamke anahitaji sana muda wako kama haupo busy, na mwanamke wako hapati hizo care, wala muda wako wala compliments zozote kutoka kwako, wengi ndo huishia kuwa entertainers.!!
Kwahiyo na sisi wakatoliki tunaobudu sanamu la mama Maria hatuingii peponi au unatania mkuuUkiona mwanaume anakuomba ndogo ujue hakupendi 100%. Bora nibaki single milele kuliko kuoa mwanamke anayetoa ndogo
1 Wakorintho 6
...Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
Hayo siyo maneno yangu bali nimeyatoa katika Biblia.Kwahiyo na sisi wakatoliki tunaobudu sanamu la mama Maria hatuingii peponi au unatania mkuu
Unaongea kuhusu kulia Tena.Hahahah
ahahahah lia kisha kata simu.
Shenz kwahio unajambisha af unalia sio.Unaongea kuhusu kulia Tena.
Yaani hilo ndo la kwanza[emoji23]
tena ukute anaekua mpole jumlisha na "nisamehe kila mara"Woga nao unasaidia eti, unachange unakua mpoleee yani hata nguvu ya kupiga mtu anaikosa
Hahaaaaaaa, ipo sana tu kama vipi tubonge tu chali ya Ar.Ila sahivi vipi? Bad looking bado ipo maana mie ndio ugonjwa wangu huo? Sipendagi kushea mimi 🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]hivi unajua hamna bullet proof ya kwenye mashavu
yani unataka kuona inakuagaje? acha nisikufundishe usje Batuliwa ukanilaumu..
Hahaaaa, yebo yebo khaa,usinifanye miye mshamba kihivo bana, nilivaa fresh tu [emoji3]sasa hivi vipi mama unadamshi damshi au bado tusubiri kidogo
maana maswala ya kuja kwenye party na yebo yebo hata mimi ntakukimbia
Hata hatukupiga picha mkuu, hakutaka kabisaaa[emoji3] [emoji3] aisee watu wana roho mbayaaaPicha basi ulivyokuwa umevaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Aiko daz mamlai, ntakusare kwa fasi!Hahaaaaaaa, ipo sana tu kama vipi tubonge tu chali ya Ar.
Umbo langu Na sura unavijulia wapi [emoji23][emoji23].Habari Saint Anne, ni karibu siku nane/
Hutaki tonane, Na hutaki niwe nawe/
Kiukweli sikia, Vers ninakuzimia/
Ombi langu kubalia, Yangu roho itafurahia/
Nadata na umbo lako, sambamba na sura yako/
Hakika nikiwa wako, Furaha itakua yako