Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kazi kweli kweli. Nilipofikiria watoto nikaona ataua watoto. Mtoto mchanga anajisaidia kitandani, anacheza na mchanga nk nk. Nikaona familia haiwezi kabisa... Wala sikumuaga. Nilipotea tu kama upepo.
Hahahahaaaaaaaa pole mkuu hiyo ilikua adhabu aisee