Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Bila shaka kuna watu walijaribu kwake na kushindwa kama mimi.
Aisee hilo ni tatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hilo ni tatizo
Yes, yawezekana kabisa mkuuBila shaka kuna watu walijaribu kwake na kushindwa kama mimi.
at that time mapepo ndio yalikua yananiongoza akili,sikua hata najua nilitendaloIla mkuu nawe ungeoa yeye, ungeeeka ndani kabisa
Pole kuna nyakati za ujinga wengi tunapitia kwenye maisha, muhimu ni kujitambua na kujisahihisha, Mungu akupe mke mwema pia mkuu.at that time mapepo ndio yalikua yananiongoza akili,sikua hata najua nilitendalo
nikikusimulia nilivyompoteza unaweza nizibua mikofi ya mgongo kichwani mwisho uniuwe bure
sikua hata najua what is Love (Mungu ampe mume mwema tu aseeee)
Nilikuga kilaza sina afadhali
Naomba nisiendelee usije nirushia Chupa ukanipasua haka kasura.
Au ulimchamba mtoto wa watu mpaka akazimia hahahaaaat that time mapepo ndio yalikua yananiongoza akili,sikua hata najua nilitendalo
nikikusimulia nilivyompoteza unaweza nizibua mikofi ya mgongo kichwani mwisho uniuwe bure
sikua hata najua what is Love (Mungu ampe mume mwema tu aseeee)
Nilikuga kilaza sina afadhali
Naomba nisiendelee usije nirushia Chupa ukanipasua haka kasura.
Kwanini sasa ulimuacha[emoji134]at that time mapepo ndio yalikua yananiongoza akili,sikua hata najua nilitendalo
nikikusimulia nilivyompoteza unaweza nizibua mikofi ya mgongo kichwani mwisho uniuwe bure
sikua hata najua what is Love (Mungu ampe mume mwema tu aseeee)
Nilikuga kilaza sina afadhali
Naomba nisiendelee usije nirushia Chupa ukanipasua haka kasura.
🤣🤣🤣 jamaa hana hata aibu aisee! Yani una mshahara af unamuomba mama hela tena...au jamaa alikuwa mlinzi nini?🤣Nilimuachaga nilipoona mizinga ya bia na K.vant imekuwa mingi, imagine mwanaume eti anakupigia simu anakuomba elfu 30 akapashe koo yani weekend ikifika tu mapigo ya moyo yananienda kasi najua simu ikiingia tu ni ya mzinga, na kaz anayo mshahara wake hauonekani anafanyia nini hata boxer tu kununua zinamshinda hadi mm nimnunulie tena kwa hela yangu na nguo, sikuwahi kumuomba hata mia yake ila mimi ndo akanifanya mtaji wake wa kulewea bar, nilimchana live na nikamuacha maana niliona hakuna future hafai kuwa kichwa cha nyumba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kuna mmoja mungu tu amenisaidia na mwanamke haridhiki nikajenga akaanza hii nyumba gani? Hiinayo nyumba, nataka gari mbn wewe ina gari yako nikamwambia sina uwezo kwa sasa subiri si maneno na matusi wala hatujawahi kupata mtoto nae. Nikajitahidi nikanunua collora gari gani hii mini nata ist. Wanaume wanaowapenda wake zao wanawa uliza chaguo lao. Alikuwa safi ukweli badi lake nyuma mashaala puchi nayo swafii tukahamia dar akaanza kusema mwanamke kama mimi natakiwa na wanaume wengi.
Siku moja kaja nyumbani kalewa kanishushia matusi kibao.
Kesho yake nikamuomba apeleke pesa fulani kwao baada ya kuondoka nikahama nyumba nikazima simu yangu. Nikahamisha biashara nikahamia mbeya baada ya mwala mmoja tulikutana kapungua sana akataka kunizoea nikamwambia una nyumba una gari bodi la kubebea wanaume wazuri unalo puchi tamu unayo umekosa nini usinizoee.
Baada ya miaka minne nikasikia ukimwi unemchukua ni ka mshukuru Mungu
Jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Kuna binti flani ni Mkenya nilikutana naye huko Migombani wakati nipo Chuoni,nakumbuka kipindi hicho alikuja kumsalimia dada yake ambaye alikuwa mpangaji mwenzetu,basi bwana kutokana na harakati za hapa na pale tukajikuta tupo kwenye mahusiano.
Mimi nilikuwa hata sina malengo naye lengo langu lilikuwa ni kupiga na kupotea maana kipindi hicho nilikuwa kwenye very serious relationship na mtu mwingine, ila yeye kusema ukweli alikuwa yupo deep sana,mpaka nikafikia kipindi nikaanza na mimi kumuelewa.
Nakumbuka siku moja alishika kadi yangu ya bima na kugundua kumbe sisi ni twins, yani tumezaliwa siku moja, mwezi mmoja na mwaka mmoja,basi kuanzia hapo mapenzi yakazidi kuwa hot..........
Stori ni ndefu sana ila nilikuja kumwambia tu ukweli kwamba niko na mtu mwingine ,kitu kilichotokea .... I'm so sorry M.
Maskini dada wa watu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].nilikua tu lijinga
hata sijui
Acha kuwaonea walinzi[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa hana hata aibu aisee! Yani una mshahara af unamuomba mama hela tena...au jamaa alikuwa mlinzi nini?[emoji1787]
Some girls are just entertainers by default, hata ubinuke vipi hawana shukrani I can concur that too...!!Swala dogo, mi siamini juu ya urafiki wa mpenzi wangu na wanaume wengine nikiwa niko nae kwa relationship. Im never into that shit, kama we ni entertainer wa hilo jua kutakuwa na migongano at some point.
Niliapa sitokuja kurudia tena huo ujinga but...Jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
I can imagine maumivu aliyopata.
Sio lazima uwe na minguo 100000 huko. Hata katika hizo 3 ulizonazo hebu zivae basi uonekane ni mtu unayejipenda na kujijali.Hakuna mwanamke asiyependa kupendeza hiyo kabati inavunjwa bila kununuliwa nguo.
Umempotezea muda mtoto wa watuNiliapa sitokuja kurudia tena huo ujinga but...
Mwanaume unatakiwa umuongoze mwanamke kwenye mavazi umwambie nguo izi sizipendi uzivae, mfano siyo za heshima au hazi mpendezi, au ana vaa nguo za wa mama wa mikoaniHakuna mwanamke asiyependa kupendeza hiyo kabati inavunjwa bila kununuliwa nguo.
Yeah for sure nilimootezea muda kwa kiasi flani,ila niliona nisimpotezee zaidi nikamwambia ukweli,najua aliumia sana sana ila ilitusaidia wote wawili mana mimi pia kwa kiasi flani nilianza kukosa balance.Umempotezea muda mtoto wa watu