Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

hapa pa "kutokua na haraka na mahusiano" nilishawahi pajaribu

kilichonkuta wajanja walimuoa mpenzi wangu na kadi ya harusi nliletewa

kisa kujitia baba paroko sina haraka nipo kwenye utafiti.
 
[emoji4][emoji4]...

Tumezaliwa na kukuzwa katika generations tofauti, wanaoandika hivyo wengi ni wa kizazi cha utandawazi "internet era"...

Naelewa sana tuu! Tabia ya kuomba omba sio poa kabisaa!

Ni kama mimi, mwanaume aniombe hela nitaelewa amekwama na sio aniandikie zile "xaxa, xku n.k" hilo siwezi kulivumilia kabisaa tho sijawahi kumbana nalo!
 
yaan mkuu mim nimetoka kuvunja mahusiano Jana tu kwa sabab iyo naona mwenzang ananichora tu af me nipo seriously na yeye nikakata mitambo
 
unafikiri wa umri huo atakupga kizinga cha vocha hoooiiyaaaa

hao akikukosa kosa sanaaaaaaa "hela ya kodi"

au simu yake samsung s7 edge imepasuka kioo so anaomba umsaidie ipone

kaulize bei ya hicho kiooo sasa (unaweza t
Of course ni matatizo ya kujitakia Mkuu choose wisely ukiona you are drowning why carry on

Mimi sio muhumini wa kulalamika na nawashangaa sana wanaolalamika fanya assessment ya Maisha yako kaa kwenye nafasi yako
Ushauri mzuri sana huu
Cc CONTROLA
 
Alikuwa anajifanya nayeye ni Muhimili
 
Kuacha acha nayo sio poa...kitu muhimu ni wake wa waume should learn how to behave wakiwa mahusianoni...

It takes two to tango...
Si unamuacha tu unatafuta ambaye hana vizinga?? Au wasio na vizinga ndiyo wanakuwaga wabovu na ninyi mnataka wazuri na wasio na vizinga??
 
hapa pa "kutokua na haraka na mahusiano" nilishawahi pajaribu

kilichonkuta wajanja walimuoa mpenzi wangu na kadi ya harusi nliletewa

kisa kujitia baba paroko sina haraka nipo kwenye utafiti.
Hakua wa kwako huyo mkuu, haya haraka haraka imekufikisha wapi mkuu?? Zaidi ya kukutana na vimeo
 
Si unamuacha tu unatafuta ambaye hana vizinga?? Au wasio na vizinga ndiyo wanakuwaga wabovu na ninyi mnataka wazuri na wasio na vizinga??
shida sio kumuacha

shida sio uzuri

shida ni kumjua asie na vizinga
 
Hahahahaha uyo mwanaume wa vichambo Ni mtu wa pwani Nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…