Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

😂 😂 😂 😂 😂
Kaah'.. Umenifurahisha mno walaqhi'
Nikipata furushi lingine I'll apply this one walaqhi..
 
Nimewahi.
Alikuwa muislamu na ana mtoto tayari. Mwanzoni nilijipa moyo nitawezana ila kadri simu zinavyoenda nikawa naona hapana inaongezeka wigo.
Niliachana nae kimahusiano na hatuna ugomvi.
 
Kwahyo choice yake ila mfuko wako
IONIC dah
 
Hehehehe dah
 
Mifumo yetu ya kiafrika inawafanya wanawake waendelee kua chini milele
Mtu hadi nauli anaomba at the same time anataka haki sawa kwa wote si maigizo haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…