Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Nakubaliana na wewe lakini most Of Afrikan Girls swala la wao kuwa independent ni tatizo hapa si kwamba nawasema vibaya hapana ni mifumo tu ya kimalezi na tamaduni zetu yaani Elimu ya pesa inatupiga chenga sana kwa wote

Kuhusu hao wanaume ambao wanatelekeza Familia na kuweka matumizi kwa michepuko kisa mwanamke ameamua kuwa independent wana matatizo makubwa sana kwenye Bongo zao na namna wanavyo fikiria

Yet wanawake independent wapo sana Afrika na Tanzania ikiwepo lakini wengi wao huwezi wakuta kwenye Millenia’s Wengi ni wamama ambao umri wao umekimbia kidogo

Hawa millennia’s wengi wapo carried away na fantasy za movie, trend za mitandao ya kijamii na the likes
unafikiri watakubali,,subiri waje kukupinga
 
Nakubaliana na wewe lakini most Of Afrikan Girls swala la wao kuwa independent ni tatizo hapa si kwamba nawasema vibaya hapana ni mifumo tu ya kimalezi na tamaduni zetu yaani Elimu ya pesa inatupiga chenga sana kwa wote

Kuhusu hao wanaume ambao wanatelekeza Familia na kuweka matumizi kwa michepuko kisa mwanamke ameamua kuwa independent wana matatizo makubwa sana kwenye Bongo zao na namna wanavyo fikiria

Yet wanawake independent wapo sana Afrika na Tanzania ikiwepo lakini wengi wao huwezi wakuta kwenye Millenia’s Wengi ni wamama ambao umri wao umekimbia kidogo

Hawa millennia’s wengi wapo carried away na fantasy za movie, trend za mitandao ya kijamii na the likes
Nimekupata mkuu
 
na wewe kabisa unaunga hoja ya Karma mkono

sasa tunayatafutaje matatizo sisi,,mimi saivi nakupenda wewe karena

ntajuaje ni mama vizinga?? karma mwenyewe ukimuendea kwa fujo anaweza kukupa zinga 1 takatifu

ukasahau hata njia ya kuondokea,shida ni hamjulikani ndani ya mioyo yenu.

Of course ni matatizo ya kujitakia Mkuu choose wisely ukiona you are drowning why carry on

Mimi sio muhumini wa kulalamika na nawashangaa sana wanaolalamika fanya assessment ya Maisha yako kaa kwenye nafasi yako
 
Hahahaha hakuna mtu anayeweza jua yaliyo ndani ya moyo wa mtu mwingine na ndiyo maana watu wanaumizana kwenye mapenzi kila siku
na wewe kabisa unaunga hoja ya Karma mkono

sasa tunayatafutaje matatizo sisi,,mimi saivi nakupenda wewe karena

ntajuaje ni mama vizinga?? karma mwenyewe ukimuendea kwa fujo anaweza kukupa zinga 1 takatifu

ukasahau hata njia ya kuondokea,shida ni hamjulikani ndani ya mioyo yenu.
 
Anapiga simu sana hadi leo ila huwa sipokei msg katuma weeee sasa my girl akawa anaziona akahisi namcheat nkamwambia ukweli yeye akawa anamjibu[emoji23][emoji23][emoji23] Sijui waliishia wapii
sio mtu mzuri kabisa wewe kuachia madereva kwa madereva wapambane
 
na wewe kabisa unaunga hoja ya Karma mkono

sasa tunayatafutaje matatizo sisi,,mimi saivi nakupenda wewe karena

ntajuaje ni mama vizinga?? karma mwenyewe ukimuendea kwa fujo anaweza kukupa zinga 1 takatifu

ukasahau hata njia ya kuondokea,shida ni hamjulikani ndani ya mioyo yenu.
Upendeleo hudanganya na uzuri ni ubatili bali mwanamke amchaye Bwana ndiye atakaesifiwa. (Mithali 31:30) uliweza isome yote ikipendeza hii iwe standard yako

Muhimu weka vigezo vya unaemtaka lakini Muombe Mungu kwa imani yako, fuata amri zake,sheria na taratibu zake... Lakini jitahidi usiwe na haraka kwenye mahusiano jipe muda na chunguza hata katika namna muhisika hajui ili kabla hujafanya maamuzi uwe na picha kamili.....
 
Uunh!!! not real vinatakiwa viwe na kiasi

Unajua to be honest moja ya vitu wadada wamekuwa wakijiharibia, ni kupiga vizinga kama vyote...

Wanaume wengi wakishaona mdada ni wa vizinga sana, huishia kutomchukulia serious...
Naelewa sana tuu! Tabia ya kuomba omba sio poa kabisaa!

Ni kama mimi, mwanaume aniombe hela nitaelewa amekwama na sio aniandikie zile "xaxa, xku n.k" hilo siwezi kulivumilia kabisaa tho sijawahi kumbana nalo!
 
Uunh!!! not real vinatakiwa viwe na kiasi

Unajua to be honest moja ya vitu wadada wamekuwa wakijiharibia, ni kupiga vizinga kama vyote...

Wanaume wengi wakishaona mdada ni wa vizinga sana, huishia kutomchukulia serious...
mwanamke omba omba hafai kuwa mke

hapo ndio una familia then baba umeumwa kitandani hoiii

huku nyuma mwanamke wa ivyo si ataomba ndugu ukoo mzima
 
Back
Top Bottom