Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Aise kwa hiyo unapenda mwanaume anaeongea kama cherehani, mnapoona tupo kimya mjue tunawaza ni kwa namna gani tutapata pesa ili mfurahie maisha..

Kumbe ikitokea tuko katika mahusiano hatutodumu kabisa, maana mimi ni zaidi ya mkimya...

😂😂😂 kwani unampango wa kuwa na mahusiano na mimi mkuu? No sio ukimya unaoufikiria, huyu ye alikuwa haongei kabisa na mimi, ndio maana nasema ajabu ni kwamba kwa wenzie anaongea vizuri kabisa anapiga stori kama kawaida.

nafikiri hakuna mwanamke anayependa ME anayeongea kama cherehani, huyu wangu alikuwa beyond normal.
 
Watu Mungu mnampenda kumbe ila kwa nini amri zake hamfuati? Back to topic, unaweza kumwacha mtu kwa kuwa eti hamtofika mbali kumbe yeye hana mpango wa kwenda huko mbali kwa hiyo ni vema ukaendelea kujiburudisha tu
U are so genius......
Kwenye relationship malengo ya kuendelea mbele zaidi yanatakiwa yaletwe/yaje na namna mnavyo bond na kuweza kuvuliana kwenye situation tofauti2/over times...

Relationship are about sacrificing for both parties, Ila Kuna ukomo wa ku sacraficy kwa Kila binadamu....

Ndo maana huwa nashangaa Sana nikiona nyuzi kuwa mtu ana tafuta mume/mke waone straight,
 
😂😂😂 kwani unampango wa kuwa na mahusiano na mimi mkuu? No sio ukimya unaoufikiria, huyu ye alikuwa haongei kabisa na mimi, ndio maana nasema ajabu ni kwamba kwa wenzie anaongea vizuri kabisa anapiga stori kama kawaida.

nafikiri hakuna mwanamke anayependa ME anayeongea kama cherehani, huyu wangu alikuwa beyond normal.
Hahah inaweza tokea pia Madame, anyway wanaume huwa tunaongea kiasi tu, cha msingi zaidi ni kutoruhusu mpenzi wako akjisike kama vile unam ignore. Maana wengi wenu mkiona hatuongei sana mnaanza hisi vitu vya ajabu kuwa huwenda kuna mtu anatuweka busy hadi inafikia sehemu tukifika nyumbani tunakuwa hatuna story nyingi..
 
Umenikumbusha mbali sana, kuna jamaa yangu tulikuwa nae kwenye harusi alimchana demu wake laivu kuwa hakupaswa kuwa pale maana alivaa kipori pori..

Na nyie mkumbuke kupendeza pale mnapoenda katika mtoko, wanaume tunaona ufahali sana pale bibi zetu wakiwa wamependeza.
Daaah, nawewe unazidi kugongelea msumari kwenye kidonda kibichi badala hata utoe polee[emoji30] ,mi nakua najiona nimetokelezea fresh tu eti
 
ubabe wa mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.

Mwingine aliomba ndogo na huo ndiyo ukawa mwisho wa mahusiano.

Ubinafsi wa yule mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ulijuaje mama, Tanga moja nikajua enhee' hapa mapenzi si ndo nimeyapatia weeh'..!! Nilimmiss msukuma wangu.!!
[emoji4][emoji4][emoji4]
Ila wanaume wa pwani wanayajuaaaaa....

Na wasukuma wanajua kusimamia ukucha[emoji3][emoji3]
 
Watu Mungu mnampenda kumbe ila kwa nini amri zake hamfuati? Back to topic, unaweza kumwacha mtu kwa kuwa eti hamtofika mbali kumbe yeye hana mpango wa kwenda huko mbali kwa hiyo ni vema ukaendelea kujiburudisha tu
Wengine wa hapa hapa sijui wanataka kutupeleka wapi
 
ubabe wa mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.

Mwingine aliomba ndogo na huo ndiyo ukawa mwisho wa mahusiano.

Ubinafsi wa yule mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.
Me mwanaume akinitongoza wala sikatai ,ila nakuwa sina mpango wa kwenda nae popote ni vizinga kwa kwenda mbele,no papuchi no love sms .namdai kama tala vile
 
Me mwanaume akinitongoza wala sikatai ,ila nakuwa sina mpango wa kwenda nae popote ni vizinga kwa kwenda mbele,no papuchi no love sms .namdai kama tala vile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
 
Me mwanaume akinitongoza wala sikatai ,ila nakuwa sina mpango wa kwenda nae popote ni vizinga kwa kwenda mbele,no papuchi no love sms .namdai kama tala vile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ubabe wa mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.

Mwingine aliomba ndogo na huo ndiyo ukawa mwisho wa mahusiano.

Ubinafsi wa yule mwanaume ulinifanya nikatishe mahusiano.
Hiyo ya pili ulifanya very GOOD DECISION.
Mtu akikuomba ndogo, hiyo ni dalili ya wazi kuwa hamtafika popote. Wanawake wajinga wanatoa ndogo eti kulinda penzi na wakati hakuna mwanaymr yoyote anayeoa mwanamke anayepigwa ndogo hata kama yeye ndiye kamuanzishia.

WEWE NI MWANAMKE BORA NA WAKUJIVUNIA KWA MUMEO ULIYENAYE/ UTAKAYEKUWA NAYE.
 
Huo inaitwa uzembe wa 5G
Kuna mmoja huyo alikuwa ni vizinga tu mwanzo nilikuwa nampa kama anavyotaka nikihisi ataona aibu kwa vizinga vya kila mara.

Kadri navyo mpa ndivyo anaongeza moto walahi nilikimbia mahusiano.

Walahi yule alikuwa hana aibu si kwa vizinga vile karibia kila siku.

Hata papuchi sikugusa maana sikutaka aseme nimechakata papuchi ndio nimekimbia.

Nilikimbia kiroho safi ila si kwa vizinga vile.
 
Hahahaaa eti ma X zako... Uuh inabidi upunguze ikibidi uache, binafsi kwangu mimi hiyo ni homa kwa sabu sina vichambo hua napenda kuzungumza taratibu hata kama mtu amenikwaza sasa ikitokea mtu akinichamba wima naona kama ananipigia kelele alafu nakasirika sana kiasi kwamba inakua ngumu kuelewa kosa naona kama tuko kwenye kigodoro sijui yani sijui nakuaje na hutasikia nikikujibu ni kimya, utanichamba weeee mi kimya yani kimya, ila ukizungumza taratibu na nikaelewa kosa naomba msamaha wa dhati na juhudi za kujirekebisa,
eeeh?
 
Hehehe duh me kuna mwana nlimwacha yaan alikua vzuri tu lkn alikua akisema kitu hatekelezi swala dogo tu LA kunyoa Nywele na ndevu na kubet vlikua shida kuoga ndo kabisaaa...nkaona isiwe shida nkamwacha for good....

Kuna mwamba mwingine yeye haoni shida kutoa hewa ya ukaa (kujamba) na shuzi Lina nuka kwelikweli mwamba mchafu kinoma kuoga ishu mswaki ishu geto hapafai...vuzi LA ela yote ukimwambia ndo kwanzaaa anakuona kama katuni nkaona isiwe tabu nkamwacha for good.....
Eti kubeti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hehehe duh me kuna mwana nlimwacha yaan alikua vzuri tu lkn alikua akisema kitu hatekelezi swala dogo tu LA kunyoa Nywele na ndevu na kubet vlikua shida kuoga ndo kabisaaa...nkaona isiwe shida nkamwacha for good....

Kuna mwamba mwingine yeye haoni shida kutoa hewa ya ukaa (kujamba) na shuzi Lina nuka kwelikweli mwamba mchafu kinoma kuoga ishu mswaki ishu geto hapafai...vuzi LA ela yote ukimwambia ndo kwanzaaa anakuona kama katuni nkaona isiwe tabu nkamwacha for good.....
Una bahati gani we jmni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom