Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Nime edit hapo juu nikajibu swali lako.!!Sasa kwa nini ulimwacha jamaa ?
Huwa napenda kumwambia my 💗 Ingekuwa inawezekana ningetafuta world 🌎 of our own , Only two of us Tuishi huku, Bahati mbaya na nzuri haiwezekani ,
BADO NINA WIVU ila najitahidi Kuuficha ,
Kuna tofauti kati ya kero na upendo, wake haukuwa upendo ila ilikuwa kero!
Lengo la mapenzi ni furaha na amani ya moyo, kama huvipati hivyo vitu kwenye mahusiano yako then you got to move on!