Umeshawahi kufiwa na mpangaji mwenzako?

Umeshawahi kufiwa na mpangaji mwenzako?

White drone

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2023
Posts
201
Reaction score
386
Binafsi ni mara yangu ya kwanza kufiwa na mtu ninaeishi nae nyumba moja, inauma sana nikiona baadhi ya vitu vyake nahisi kama namuona yeye by the way ni juzi tu hapo tumeongea.
Hakika nyuma yake mbele yetu.
 

Attachments

  • 83988A6E-A943-4008-853C-3F064E84745D.jpeg
    83988A6E-A943-4008-853C-3F064E84745D.jpeg
    358.1 KB · Views: 2
  • IMG_4264.MOV
    9.1 MB
Binafsi ni mara yangu ya kwanza kufiwa na mtu ninaeishi nae nyumba moja, inauma sana nikiona baadhi ya vitu vyake nahisi kama namuona yeye by the way ni juzi tu hapo tumeongea.
Hakika nyuma yake mbele yetu.
POLEN mkuu wapihioo

Maana huku mbez beach i kuna misiba 4

Na wamekufa sikumoja sijui waliambiana
 
Back
Top Bottom