Umeshawahi kufiwa na mpangaji mwenzako?

Umeshawahi kufiwa na mpangaji mwenzako?

Binafsi ni mara yangu ya kwanza kufiwa na mtu ninaeishi nae nyumba moja, inauma sana nikiona baadhi ya vitu vyake nahisi kama namuona yeye by the way ni juzi tu hapo tumeongea.
Hakika nyuma yake mbele yetu.
Hiyo imewahi kunitokea Kuna dada mmoja nilikuwa nimepanga nae nyumba mmoja, yule dada alikuwa ni msukuma wa bariadi na alikuwa wowowo balaa.....siku moja ameenda mwanza kupokea mzigo wa suruali za mtumba ( ndio ilikuwa biashara zake) gari ilirudi reverse ikamgonga na alikufa palepale,....,.walikuja ndugu zake kuchukua vitu ....rest peace kibonge mwitu.
 
Hiyo imewahi kunitokea Kuna dada mmoja nilikuwa nimepanga nae nyumba mmoja, yule dada alikuwa ni msukuma wa bariadi na alikuwa wowowo balaa.....siku moja ameenda mwanza kupokea mzigo wa suruali za mtumba ( ndio ilikuwa biashara zake) gari ilirudi reverse ikamgonga na alikufa palepale,....,.walikuja ndugu zake kuchukua vitu ....rest peace kibonge mwitu.
Duh kibonge mwitu tena😂
 
Vipi upo karibu na yuke jamaa doctor aliye oats ajali ya gari yeye na mke wake pia

Jamaa na mtoto amefariki lakini mke amebaki ????
Smaahani kwa kuuliza
 
Pole sana mkuu....duniani tunapita ukifiwa ndio hukumbuka kuwa hapa si pa kudumu.....mimi alikufa vube mate O level nilipagawa.....haijatoka todate
 
Bongo hii hii ndugu wasiijue nyumba ya ndugu yao.

Labda viwanja unaweza ukaotea ila sio nyumba iliyojengwa
Inatokea mkuu japo si mara nyingi, ninao ushahidi mtu alikuwa na nyumba ya kupangisha hakuna yeyote kati ya ndugu watoto hata mke aliekuwa anajua kama ni nyumba yake zaidi ya mjumbe, baada ya msiba mjumbe ndo akaanza kutafuta ndugu zake.
 
akifa mwenye nyumba wapangaji Huwa wanakaa chonjo..varangati la ndugu kuuza nyumba ,husababisha ngumi kurindima mpaka sebuleni kwa wapangaji
Muda mwingine wanakuja kugawana wapangaji kama wazungu walivyogawana bara la Africa.
 
Back
Top Bottom