ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Tafsiri yake ni kwamba,mzee yule ambaye ni fundi cherehani alikua anakuja mle,kula mzigo kama wale walioacha suruali zao.Hakua na mume.Kilikua kinafanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafsiri yake ni kwamba,mzee yule ambaye ni fundi cherehani alikua anakuja mle,kula mzigo kama wale walioacha suruali zao.Hakua na mume.Kilikua kinafanya nini?
Na iwe hivyoTuliwahi kufiwa na mpangaji wetu, alipojifungua tu akapata Postpartum depression ikampelekea kwenye suicide akamuacha kichanga wake,
Continue to rest easy beautiful🙏😭
Ndio nini hii haina kiswahiliakapata Postpartum depression
Alafu ww inaonekana Mbezi ndio mitaa yako.POLEN mkuu wapihioo
Maana huku mbez beach i kuna misiba 4
Na wamekufa sikumoja sijui waliambiana
Kipindi nimepata ajari na kuvunjika mguu nikiwa sijiwezi mtu wa kusaidiwa kuhamishwa hapa na pale muda Kama huu mwaka Jana nilikua kwenye hayo mapito.Binafsi ni mara yangu ya kwanza kufiwa na mtu ninaeishi nae nyumba moja, inauma sana nikiona baadhi ya vitu vyake nahisi kama namuona yeye by the way ni juzi tu hapo tumeongea.
Hakika nyuma yake mbele yetu.
Zinapokelewa lakini si kupitia mimi ni kupitia mwenye nyumba wetuUnapokea rambi rambi???
Hakika inauma sanaKipindi nimepata ajari na kuvunjika mguu nikiwa sijiwezi mtu wa kusaidiwa kuhamishwa hapa na pale muda Kama huu mwaka Jana nilikua kwenye hayo mapito.
Mzee mmoja jirani yangu na mkewe walikua wanakuja wananisalimu siku moja mwezi huu huu wa tatu mwaka Jana kwa siku mbili isiyo kawaida MAPAKA YAKAWA YANAPITA MADIRISHANI YANALIA KWA UCHURO YANALIA KAMA YANANUN'GUNIKA AISEE
siku ya pili mzee akafariki gafla ndani mwake duu ilikua ni huzuni na simanzi Sanaa sanaa
Hakika majirani ni watu wa kuishi nao vizuri sana, binafsi najitahidi sana kuishi nao vema japo mara nyingi na mind business zanguJirani yako ni ndugu yako wa hiyari ndio maana hata wazee hutusihi kuishi vizuri na watu.
Jirani yako anaweza kujua kuwa leo umeamka salama ama la. Likitokea tatizo msaada wa kwanza utapata kwa jirani yako.
Wapende majirani zako usiwe na kisirani nao. Wakiwa na shida kuwa wakwanza kurespond. Unapojisikia kuwapa zawadi usisite kufanya hivyo. Ukienda safari ukinunua kilo 50 za mchele ongeza na 30 za jirani yako. Ukifika mwambie nilikubebea huu mchele uonje unambie kama ni mzuri,yeye atajiongeza sababu kilo 30 hapa mjini utanunua kwa bei gani.
Msiba unasafirishwa kutokea hospitali so hapa upangajini hakuna lolote like nothing happenedMsiba upo hapo hapo upangajini?! Kuna wenye nyumba wengine wakuda huwa hawataki msiba wa mpangaji kwenye premises zao
Ni kweli kabisaUkiona mtu amekufa Ila anachelewa kuondoka katika akili yako hapo kinachokuwa kimepelekea hiyo hali ni nishati yake kuwa kubwa
Asante sana nduguPolen sana ndugu
Asante sanqPolee sana.
Nadhani itakua Msongo wa Mawazo baada ya kujifungua (Postpartum=baada ya kujifungua na depression=msongo wa mawazo)Ndio nini hii haina kiswahili