White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
Asante sana mkuuPoleni sana
Hakika na iwe hivyo mkuuJirani apumzike kwa amani.
Asante sana, na iwe hivyopoleni sana 💔, apumzike kwa amani.
Asante mkuuPoleni sana!
POLEN mkuu wapihiooBinafsi ni mara yangu ya kwanza kufiwa na mtu ninaeishi nae nyumba moja, inauma sana nikiona baadhi ya vitu vyake nahisi kama namuona yeye by the way ni juzi tu hapo tumeongea.
Hakika nyuma yake mbele yetu.
Asante mkuuPoleni sana
Hapana mkuu sio mbezi beachPOLEN mkuu wapihioo
Maana huku mbez beach i kuna misiba 4
Na wamekufa sikumoja sijui waliambiana
Kufiwa ukiisoma vibaya inaleta maana nyingine yaan basi tuHakika nyuma yake mbele yetu.
Kama ndugu hawaijui hiyo nyumba mtakaa bure mileleakifa mwenye nyumba wapangaji Huwa wanakaa chonjo..varangati la ndugu kuuza nyumba ,husababisha ngumi kurindima mpaka sebuleni kwa wapangaji
Haha mkuu usitumie akili nyingi kwenye kufikili jambo kama hiloKufiwa ukiisoma vibaya inaleta maana nyingine yaan basi tu
Asanteh mkuuPoleni sana