kuhanda kawili
Senior Member
- Sep 19, 2014
- 164
- 33
Ni kweli wewe kama ni wewe, lakini tambua kuwa kuna Oneness katika ulimwengu. Wewe ni mimi na mimi ni wewe lakini at the same time I Am That I am. Unapomkosea mwanadamu mwenzio unakuwa hujamkosea yeye bali umejikosea wewe kwani yeye ni sehemu yako wewe. Unavyoona kila mtu yuko kivyake kama wewe ni Illusion/Uongo/Mtihani. Ndio maana tunafundishwa mtendee mwenzio ambacho unapenda utendewe, kwa sababu unajitendea wewe. Unaposaidia mtu unajisaidia wewe, unapomuumiza mtu unajiumiza wewe bila kujua. Utakuja kujua
baada ya maisha yako umuhimu wake lakini kwa sasa ni kama mtihani kwako.
Hivyo inakupasa kuepuka ubinafsi.
Kasoro unapomzika mwenzio haujiziki na wala hatokuzika ha ha ha ha!