Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

Sasa mkubwa, ntawezaje kukuelezea mimi ni nani wakati hautaki maelezo?
[/CENTER]

Kwa sababu wewe sio maelezo. You are the witness behind your thoughts and not them. Pale mind inapokuwa still, reality inaonekana kama ilivyo na illusion inapotea. Kwani ni consciousness peke yake ndio inaweza kuondoa illusion na sio thinking.

Tazama video hii ndio utatambua ni kwanini ninapinga kuwa kwa kuwaza ndio unapata jibu bali jibu linapatikana kwa kutowaza. Kuna ulimwengu zaidi ya kuwaza. Jibu la kujitambua halipatikani kwa kuwa na majibu mengi bali hupatikana kwa kuwa na maswali machache. Tazama video hii utatambua wewe ni nani.

 
Last edited by a moderator:
Hili swali nilikua najiuliza sana kipindi nikiwa mdogo.Hasa nikikaa sehemu tulivu isiyo na kelele yoyote.Hadi nikawa najikuta najishangaa mwenyewe!
Lakini siku hizi kila nikijaribu nashindwa sijui kwanini!

the same to me...nahisi dhambi au mfumo wa maisha umeondosha hayaa
 
Asante sana. Finally umeweza kuchambua kimoja kimoja na kutoa taka zote na kubakia na ambacho ni wewe. Ubarikiwe nawe pia. Asante sana.

Hahaha huu uchambuzi inabidi uupandishe kule juu kwenye thread yako kwa ajili ya jamii pana ya JF. Fanya ku copy na kupaste then edit thread yako hapo juu utakuwa umepandisha huu uchambuzi!

Barikiwa sana!
 
Naomba kuendelea kuchokoza hii mada:

Nimebaini kuwa watu wengi mabilioni kwa mabilioni wana hali ya kutojifahamu wao ni nani. Hali hii ni tangu enzi na enzi. Je, ni kwanini hali hii?

cc: Apollo
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma kichwa cha mada tu na nimeaumua kuanika utata nilioupata kabla sijaendelea kusoma zaidi....
Nikiwa mdogo wa miaka kama 9 au 10 nilijiuliza sana mi ni nani na kwanini? nilijitazama kwenye kioo kikubwa nikawa najiuliza maswali mengi juu yangu kwann nina jina, baba, mama, kwanini naweza kuwaza na kuongea moyoni bila kutoa sauti, nipoje, wengine wananionaje, ipo siku nitakufa na nitaenda wapi. Nilijiuliza sana ila sijui mawazo yale yalikuja potelea wapi ila Mungu mkubwa nilikuja kupata majibu hayo toka kwenye biblia. Nilijikuta kwenye mawazo hayo tena ktk usingizi wa nusu kaputi nilipofanyiwa upasuaji mdogo wa pua ila wakati huo nilijiuliza juu ya mungu na kwanini katuumba
 
Nimesoma kichwa cha mada tu na nimeaumua kuanika utata nilioupata kabla sijaendelea kusoma zaidi....
Nikiwa mdogo wa miaka kama 9 au 10 nilijiuliza sana mi ni nani na kwanini? nilijitazama kwenye kioo kikubwa nikawa najiuliza maswali mengi juu yangu kwann nina jina, baba, mama, kwanini naweza kuwaza na kuongea moyoni bila kutoa sauti, nipoje, wengine wananionaje, ipo siku nitakufa na nitaenda wapi. Nilijiuliza sana ila sijui mawazo yale yalikuja potelea wapi ila Mungu mkubwa nilikuja kupata majibu hayo toka kwenye biblia. Nilijikuta kwenye mawazo hayo tena ktk usingizi wa nusu kaputi nilipofanyiwa upasuaji mdogo wa pua ila wakati huo nilijiuliza juu ya mungu na kwanini katuumba

Swala la mungu ndio lina utata maana tangu nimepata akili sijalipatia jibu mpaka leo.
 
Hahaha huu uchambuzi inabidi uupandishe kule juu kwenye thread yako kwa ajili ya jamii pana ya JF. Fanya ku copy na kupaste then edit thread yako hapo juu utakuwa umepandisha huu uchambuzi!

Barikiwa sana!

Asante sana ndugu yangu. Ningeshukuru sana kama ungenisaidia kuQuote mazungumzo ambayo ningeyaongeza kwenye mada ili nijue ni mazungumzo gani ungependa niupdate kwani mada imekuwa ikifuatiliwa na wengi.
 
Naomba kuendelea kuchokoza hii mada:

Nimebaini kuwa watu wengi mabilioni kwa mabilioni wana hali ya kutojifahamu wao ni nani. Hali hii ni tangu enzi na enzi. Je, ni kwanini hali hii?

cc: Apollo

Asante kwa swali zuri sana.

Ni kwamba mwanadamu anasahau na jamii inavyozidi kwenda watu wanazidi kusahau kwani specialization zinaongezeka. Mtoto anazaliwa, anapelekwa shule, anaambiwa anasoma ili apate kazi nzuri, anatamani kupata kazi nzuri na anajitahidi kusoma na anafanikiwa, anapata kazi na kuanza stress za kazi, anakutana na changamoto za kazi, bado familia anaanza kufikiria jinsi ya kuiunda, anaoa, anaanza kujianda kujenga, kuandaa makazi ya maisha, anazeeka, na anasubiria kufa na mwishowe anakufa, lakini hajawahi kujiuliza ni kwanini yupo. Lengo la maisha ni nini? Kwanini yupo na anapaswa afanye nini?.

Tofauti na zamani ambapo unakuta mtoto anazaliwa, anakua, anakutana na mazingira na kujifunza mazingira, specialization ya watu haijapanuka na kunakuwa na specialization chache hivyo kuna kuwa na watu wengi wenye interest moja ya kujifunza siri za maisha ni nini.

Medias, utandawazi, na urahisi wa kushare informations umeongezeka hivyo ujinga unaweza kuongezeka na kusambaa kwa urahisi au busara inaweza kusambaa sana kwa faida hiyo pia. HIvyo jinsi tunavyozidi kuenda mtu akija kuuliza ni kwanini tunazaliwa, tunakua na mwishowe tunakufa ataonekana ni kama kichaa.

Lakini ukiwa mtafutaji, mwepesi kujifunza lolote utajikuta tu unakutana na signs ambazo zinaweza kukufanya ukaanza kujiuliza mengi.
 
Nimesoma kichwa cha mada tu na nimeaumua kuanika utata nilioupata kabla sijaendelea kusoma zaidi....
Nikiwa mdogo wa miaka kama 9 au 10 nilijiuliza sana mi ni nani na kwanini? nilijitazama kwenye kioo kikubwa nikawa najiuliza maswali mengi juu yangu kwann nina jina, baba, mama, kwanini naweza kuwaza na kuongea moyoni bila kutoa sauti, nipoje, wengine wananionaje, ipo siku nitakufa na nitaenda wapi. Nilijiuliza sana ila sijui mawazo yale yalikuja potelea wapi ila Mungu mkubwa nilikuja kupata majibu hayo toka kwenye biblia. Nilijikuta kwenye mawazo hayo tena ktk usingizi wa nusu kaputi nilipofanyiwa upasuaji mdogo wa pua ila wakati huo nilijiuliza juu ya mungu na kwanini katuumba

Ni kisa kizuri sana ambacho nami kimenigusa sana. Watu wengi sana waliowahi kujitambua na kupata majibu wamekuwa walimu wazuri sana wa kuelekeza watu.

Nimefurahi kuwa ni exerience ambayo umeitambua wewe, kwani kwa wanaoamini Biblia bila kuutafuta ukweli ndani yao nao bado hawajajua jibu. Nimefurahi kwani nawe umejiuliza na ukashuhudia mbali na kusoma kwenye BIblia tu.

Ubarikiwe sana.
 
Swala la mungu ndio lina utata maana tangu nimepata akili sijalipatia jibu mpaka leo.

Swala la Mungu, kila dini ipo sahihi lakini ni sawa na kutazama anga na kuona mawingu na kusema kuwa anga ni mawingu. Utakuwa sahihi lakini kuna kitu ambacho ukikijua utaweza kufunguka zaidi na kutambua kuwa Sky is above clouds na clouds ni hali ndogo sana ya anga.

Same to God. Huwezi kujua ukweli bila kujitambua. Kila mwanadamu ana nature ya Mungu ndani yake ambayo inaweza kumuongoza na kukutana na Mungu ambaye ndio nature kuu.

Kwa kukusaidia sana ningependa kukushauri usome Easten Spirituality na kujifunza mtazamo wao kuhusu Mungu ni nani. Hasa Buddhism na Tao.
 
Swala la Mungu, kila dini ipo sahihi lakini ni sawa na kutazama anga na kuona mawingu na kusema kuwa anga ni mawingu. Utakuwa sahihi lakini kuna kitu ambacho ukikijua utaweza kufunguka zaidi na kutambua kuwa Sky is above clouds na clouds ni hali ndogo sana ya anga.

Same to God. Huwezi kujua ukweli bila kujitambua. Kila mwanadamu ana nature ya Mungu ndani yake ambayo inaweza kumuongoza na kukutana na Mungu ambaye ndio nature kuu.

Kwa kukusaidia sana ningependa kukushauri usome Easten Spirituality na kujifunza mtazamo wao kuhusu Mungu ni nani. Hasa Buddhism na Tao.

Napenda sana kufuatilia vitu kama hivi lakini lugha ndio kikwazo kikuu.
Ok, asante mkuu nitajitahidi kutafsiri kwa kutumia google.
 
Ni kisa kizuri sana ambacho nami kimenigusa sana. Watu wengi sana waliowahi kujitambua na kupata majibu wamekuwa walimu wazuri sana wa kuelekeza watu.

Nimefurahi kuwa ni exerience ambayo umeitambua wewe, kwani kwa wanaoamini Biblia bila kuutafuta ukweli ndani yao nao bado hawajajua jibu. Nimefurahi kwani nawe umejiuliza na ukashuhudia mbali na kusoma kwenye BIblia tu.

Ubarikiwe sana.

amina, mtu anapojitambua huona kila kitu hapa dunian hakina thamani na hupuuzia mambo mengi ambayo wengine wanayaona ndo majibu ya ndoto zao pia hujikita ktk kile kilichowaleta dunian japo hukabiliwa na changamoto nyingi wengine wakistahimili wengine wakianguka kama ilivyokuwa kwangu baada ya kupata changamoto nyingi toka kwa ibilisi kupitia kwa wazazi wangu, marafiki, mazingira n.k ila naamini ipo siku nitarudi ktk mstari kabla ya kifo changu Mungu nijalie
 
Mimi na wewe sio kitu kimoja mkuu,hebu rekebisha hapo
 
Mambo yamekuwa mengi! but you can go back to your childhood status only if u choose for a few minutes to throw away everything for a while
 
amina, mtu anapojitambua huona kila kitu hapa dunian hakina thamani na hupuuzia mambo mengi ambayo wengine wanayaona ndo majibu ya ndoto zao pia hujikita ktk kile kilichowaleta dunian japo hukabiliwa na changamoto nyingi wengine wakistahimili wengine wakianguka kama ilivyokuwa kwangu baada ya kupata changamoto nyingi toka kwa ibilisi kupitia kwa wazazi wangu, marafiki, mazingira n.k ila naamini ipo siku nitarudi ktk mstari kabla ya kifo changu Mungu nijalie

Asante sana.

May you attain your goal as you wish. Blessings.
 
Mimi na wewe sio kitu kimoja mkuu,hebu rekebisha hapo

Asante

Siwezi kurekebisha. Ni ukweli ambao haupingiki ndugu yangu. Utakapomaliza maisha yako ya hapa duniani utagundua kuwa una identity nyingi unayoichukulia kuwa ni wewe lakini utakapovua identity zako na kubakia na ufahamu wako utagundua hauna tofauti kati yako wewe na wanadamu wenzio. Hata tofauti za jinsia, muonekano, mali, unaziacha hapa hapa.

Nothing is separated in the universe. Kila kitu kina nafasi yake lakini vyote vimetoka katika chanzo kimoja na vinashikiliwa na chanzo kimoja. Kama unabisha, usijali. Amini unavyoamini, lakini usisahau mada hii. Ipo siku utaikumbuka.
 
mkuu kuna kitu huwa kinanitokea some tymes huwa nimelala na huwa nahitaji kuamka lakini macho hayafumbuki hujihisi natumia ubongo wangu kuinua mikono ili niamke nifnye kitu ambacho kupitia ratiba nlizojiwekea kuzifnya ila bado ntashinwa kwa kipindi kidogo ila baada ya muda huamka hapa sizungumzii ile ndoto inayonifaya nijione kama nakandamizwa hapana katika hali hii huwa nakua huru na nnahisi na kutamani kuuutumia mwili wangu lakini nashindwa kabisa katika hili nahisi kabisa katika hili mimi nipo ndni ya mwili wangu
mtoa mada unasema mimi siye huyu ninae imba kwani kuimba ni sifa ya mwili ila ndani ya ndoto hujikuta naimba pia na sauti huwa naisikia na hujikuta naweza kuutumia mwili na kupata hisia zote hata muda mwingine huwa nakula na kuhisi ladha ya kile nnachokila huyu ndio mimi nikiwa ndani ya ndoto huwa napata raha sana
ingawa muda mwingine hujikuta naumia na huhisi maumivu ki ukweli kw hili nahisi kuna mwili ambao upo kifikra ambao huo ndio mimi
 
Back
Top Bottom