Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu huyu jamaa kaongea kile nilichokuwa nasema nitakuja kukiongea.
I think, this is an introduction regarding your question..
Nasema introduction maana kuanzia hapa tunatakiwa tuchambue kila kimoja na kazi yake pamoja na limitations zake, nevertheless tujue which one will bring us to the conclusion..
Mkuu apolo kuna kipindi nakua nimelala na nahitaj kuinuka labda niende kukojoa huwa napata shida sana some times najaribu kufumbua macho najiona kama nimeamka alaf nikithibitsha najikuta bado sijaamka huwa najitahid kujigeuza nipate kuushtua mwili njiona kabisa nikiwa najizungusha ila mwili unagoma kuzumguka najitahd mpaka nafanikiwa kama nntatumia nguvu nyingi sana nkiamka BA's mapigo ya moyo humienda mbio sana na kama sijatumia nguvu nying huamka kawaida mm nahs hata watu walio ndani ya koma wanhitaji kuinuka na wanahis kufanya mambo Yao kama wao ila mwili unakataaa nahis nguvu ya ndani yetu imeunganishwa na kitu kutuunganisha na mwili huu wa nyama bila ya hiyo konektion mwili utaendelea kubaki wenyewe na hakuna kinachotokea mkuu apolo haya no mawazo yangu kupitia mawaz yangu najua unajua zaid naonmba uyaelezee haya mambo kW kina kidogo
hakuna anayejitambua kuwa yeye ni nani kwakuwa wakati tunazaliwa hatukuwahi kuambiwa sisi nani
ndio maana hatujui maisha baada ya kifo yapojeHakuna atakaye kuambia wewe ni nani kwa sababu hata ulipozaliwa, waliokuzaa na waliokuwa karibu na wewe nao walizaliwa kama wewe na hawajui kabla ya kuzaliwa walikwepo wapi, wametoka wapi na wao ni nani. Zaidi ya kuwa nao wanatumia ufahamu wanaoikuta kwenye jamii.
Saka uzi wa rakims habari lucid dream na astral projection. Ww mwili wako unafanya lucid. Kwa maelezo zaidi usake kisha unipe jibu umejielewa ukifanyacho ama laa.Mkuu apolo kuna kipindi nakua nimelala na nahitaj kuinuka labda niende kukojoa huwa napata shida sana some times najaribu kufumbua macho najiona kama nimeamka alaf nikithibitsha najikuta bado sijaamka huwa najitahid kujigeuza nipate kuushtua mwili njiona kabisa nikiwa najizungusha ila mwili unagoma kuzumguka najitahd mpaka nafanikiwa kama nntatumia nguvu nyingi sana nkiamka BA's mapigo ya moyo humienda mbio sana na kama sijatumia nguvu nying huamka kawaida mm nahs hata watu walio ndani ya koma wanhitaji kuinuka na wanahis kufanya mambo Yao kama wao ila mwili unakataaa nahis nguvu ya ndani yetu imeunganishwa na kitu kutuunganisha na mwili huu wa nyama bila ya hiyo konektion mwili utaendelea kubaki wenyewe na hakuna kinachotokea mkuu apolo haya no mawazo yangu kupitia mawaz yangu najua unajua zaid naonmba uyaelezee haya mambo kW kina kidogo
Ngoja niusake nikutagMkuu apolo kuna kipindi nakua nimelala na nahitaj kuinuka labda niende kukojoa huwa napata shida sana some times najaribu kufumbua macho najiona kama nimeamka alaf nikithibitsha najikuta bado sijaamka huwa najitahid kujigeuza nipate kuushtua mwili njiona kabisa nikiwa najizungusha ila mwili unagoma kuzumguka najitahd mpaka nafanikiwa kama nntatumia nguvu nyingi sana nkiamka BA's mapigo ya moyo humienda mbio sana na kama sijatumia nguvu nying huamka kawaida mm nahs hata watu walio ndani ya koma wanhitaji kuinuka na wanahis kufanya mambo Yao kama wao ila mwili unakataaa nahis nguvu ya ndani yetu imeunganishwa na kitu kutuunganisha na mwili huu wa nyama bila ya hiyo konektion mwili utaendelea kubaki wenyewe na hakuna kinachotokea mkuu apolo haya no mawazo yangu kupitia mawaz yangu najua unajua zaid naonmba uyaelezee haya mambo kW kina kidogo
Hakuna "wewe" kwa sababu unabadilika kila sekunde.Kwa maelezo yako mwishoe utasema....
WEWE SI WEWE. . . .
Mkuu hali ii ishanikuta ata mm katika age flan ivi kam yako.Hili swali nilikua najiuliza sana kipindi nikiwa mdogo.Hasa nikikaa sehemu tulivu isiyo na kelele yoyote.Hadi nikawa najikuta najishangaa mwenyewe!
Lakini siku hizi kila nikijaribu nashindwa sijui kwanini!