Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Wacha weee!Muhudumu yoyote alieniletea nyodo nilimlipizia kwa kumla bila kumpa hata sumnii... halafu baaday ya hapo naenda na dem wangu kwenye hiyo bar
Kwanini umewaza mhudumu wa Bar tu sio eneo jingine?Muhudumu yoyote alieniletea nyodo nilimlipizia kwa kumla bila kumpa hata sumnii... halafu baaday ya hapo naenda na dem wangu kwenye hiyo bar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndio nakoishiiKwanini umewaza mhudumu wa Bar tu sio eneo jingine?
Hajataja mhudumu kutoka wapi ila wewe una kisirani chako.Muhudumu yoyote alieniletea nyodo nilimlipizia kwa kumla bila kumpa hata sumnii... halafu baaday ya hapo naenda na dem wangu kwenye hiyo bar
Mpaka leo hii ni mkewe?Enzi hizo nakunywa safari beer baridi nilikua na rafiki yangu tajiri wa mabasi ya mikoani, lkn huyu jamaa vaa yake usingejua kwamba Ni tajiri. Tulikwenda bar moja Ina wahudumu wawili, jamaa akamtaka mmoja white lkn white akajifanya matawi. Basi jamaa akamjaribisha yule sura mbaya na sura mbaya akakubali.
Jamaa yangu kila siku Basi likitoka mikoani lzm lije na Michele, samaki, ndizi, kuku ndio usiseme. Baadae akaamua kuoa kabisa.
Tukamwacha white na uzuri wake akiendelea kuuza bar.
ChaaaaaaaaaaaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiEnzi hizo nakunywa safari beer baridi nilikua na rafiki yangu tajiri wa mabasi ya mikoani, lkn huyu jamaa vaa yake usingejua kwamba Ni tajiri. Tulikwenda bar moja Ina wahudumu wawili, jamaa akamtaka mmoja white lkn white akajifanya matawi. Basi jamaa akamjaribisha yule sura mbaya na sura mbaya akakubali.
Jamaa yangu kila siku Basi likitoka mikoani lzm lije na Michele, samaki, ndizi, kuku ndio usiseme. Baadae akaamua kuoa kabisa.
Tukamwacha white na uzuri wake akiendelea kuuza bar.
Niliwahi ila Moto nilio muwashia mbona ilibidi BOSI wake ajizoezoe kuomba msamaha ! Lakini halikuishia Happ nikaendeleza kichambo Nika mobilize WATEJA letu likawa moja hahahaaaa Kilichowakuta hawana hamu na Mimi na hawatafanya hivyo TenaSalaam wakuu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika mihangaiko yako ya maisha ya kila siku, umewahi kwenda sehemu kupata huduma fulani na ukaletewa nyodo na mhudumu husika, kwa sababu tu aidha mmiliki ni mpenzi wake, au vyovyote?
Karibuni!
Kwa sababu hilo ni eneo lake la kujidaiKwanini umewaza mhudumu wa Bar tu sio eneo jingine?
Pale unapojidai kuwa uzuri ni zaidi ya akili.Enzi hizo nakunywa safari beer baridi nilikua na rafiki yangu tajiri wa mabasi ya mikoani, lkn huyu jamaa vaa yake usingejua kwamba Ni tajiri. Tulikwenda bar moja Ina wahudumu wawili, jamaa akamtaka mmoja white lkn white akajifanya matawi. Basi jamaa akamjaribisha yule sura mbaya na sura mbaya akakubali.
Jamaa yangu kila siku Basi likitoka mikoani lzm lije na Michele, samaki, ndizi, kuku ndio usiseme. Baadae akaamua kuoa kabisa.
Tukamwacha white na uzuri wake akiendelea kuuza bar.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Muhudumu yoyote alieniletea nyodo nilimlipizia kwa kumla bila kumpa hata sumnii... halafu baaday ya hapo naenda na dem wangu kwenye hiyo bar
Nisehem anayo kuepo mdamwingi.Kwanini umewaza mhudumu wa Bar tu sio eneo jingine?
Pole sana mkuu.ndio ccbrt hospital ness pale kwenye kupata risiti baada ya malipo ukamuone dr hataki umuulize mara mbili hata kama hujasikia na ubaya kavaa barakoa sauti haitoki wanaudhi sana 3/9/21