TASMANIA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 657
- 724
Nililetewa dhihaka na pump attendant Mimi kawaida yangu sikaagi na gari moja.
Nilikuwa na Rav4 nikauza, nikanunua Starlet nikauza, nikanunua Brevis nikaja nikauza nikaja nikanunua Passo rangi ya mgomba ndo siku naenda kujaza mafuta shell ambayo nimeizoea na kituo kizima wananijua. Huyo bidada akaanza nyodo eti hoo kashafulia kanunua kigari cha kike.
Nilimsikiliza sikumjibu kitu nikasema ww dawa yako lazima nikupige kapumbu. Kweli nikaja kufanikiwa nilipiga 3times.
Nilikuwa na Rav4 nikauza, nikanunua Starlet nikauza, nikanunua Brevis nikaja nikauza nikaja nikanunua Passo rangi ya mgomba ndo siku naenda kujaza mafuta shell ambayo nimeizoea na kituo kizima wananijua. Huyo bidada akaanza nyodo eti hoo kashafulia kanunua kigari cha kike.
Nilimsikiliza sikumjibu kitu nikasema ww dawa yako lazima nikupige kapumbu. Kweli nikaja kufanikiwa nilipiga 3times.