Umeshawahi kuletewa nyodo na mhudumu wa kike?

Umeshawahi kuletewa nyodo na mhudumu wa kike?

Ngoja nishee habari Moja kuhusu ma secretary wenye nyodo mwaka ya 98 nilikuwa na mgogoro wa ardhi na mtumishi mmoja wa umma akiwa Ni afisa ardhi.Baada ya suala kuwa halishughulikiwi nikaamua kwenda ofisi ya Mkuu wa mkoa kupata msaada nilikuwa na miaka16 kipindi hicho.
Sasa nilipofika kwa katibu muhutasi huyo ili kupata ruhusa akanikatalia eti nimwambie shida yangu halafu akamwambie bosi wake akikubali ndo ataniruhusu, Katibu muhutasi akaniuliza kwa ukali "UNATAKA NINI NAWEWE KIBWENGO" Nikamjibu NIMEKUJA kuongea na Baba kwani Mimi hunijui? Basi akajifanya kunijua akaniruhusu nikaingia.
Muda kidogo akaniletea chai nzitoooo. Mkuu wake akashikwa na butwaa.alipotoka Yule muhutasi nikamueleza Miuu Yule shida yangu Mambo yakaenda sawa.nkatoka na kumuaga.INA MAANA NISINGE MDANGANYA NISINGE WEZA KUFIKISHA UJUMBE WANGU KWA MKUU WA MKOA NA HUWENDA TATIZO LISINGEPATIWA UFUMBUZI
KIBWENGO aisee ningekua jela sahivi. Manslaughter.
 
Nililetewa dhihaka na pump attendant Mimi kawaida yangu sikaagi na gari moja.
Nilikuwa na Rav4 nikauza, nikanunua Starlet nikauza, nikanunua Brevis nikaja nikauza nikaja nikanunua Passo rangi ya mgomba ndo siku naenda kujaza mafuta shell ambayo nimeizoea na kituo kizima wananijua. Huyo bidada akaanza nyodo eti hoo kashafulia kanunua kigari cha kike.

Nilimsikiliza sikumjibu kitu nikasema ww dawa yako lazima nikupige kapumbu. Kweli nikaja kufanikiwa nilipiga 3times.
Ukampiga kapumbu kama utopolo walivyopigwa machine ya mbali
 
Hakuna jamaa alipiga simu ikulu nao wakampigia simu mkuu wa kituo.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwa hiyo alitumia ndugu yake wa Ikulu kuingilia kazi ya traffic sio? Angenikuta mimi ndio traffic nafikiri angefurahi.
 
Kwa hiyo alitumia ndugu yake wa Ikulu kuingilia kazi ya traffic sio? Angenikuta mimi ndio traffic nafikiri angefurahi.

Yaani huna hata V halafu ukamsumbue mtoto wa mkubwa?[emoji1787]


lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
siku moja nme enda kurekebisha nyumba ya wapangaji nika mkuta sister du flani ana nyodo balaa nikamsalimia dada habari samahani naomba kufahamu kama mwenye hiki chumba yupo coz nampigia simu haipatikani akanijibu kwa dharau basi nika sogeagrocery ya pembeni hapo nika agiza vyombo kusogeza mda mara yule mpangaji wangu akarudi toka mishe zake akanikuta pale grocery nikamwambia nmekuja kukurebishia nyumba ulisema ina hitaji marekebisho basi tulipo fika home akamtambulisha yule demu mwenye nyodo huyu ndo mwenye nyumba wangu aisee yule ali ishiwa nguvu kabisa aka anza kujipendekeza adhabu yake nlimt0mba na siku mpa hata mia
Huyo sista duu uliyemkuta ulikua humjui au alikua anakaa kwa mtu ulie mpangishia?
 
Yalinifika!
Ila kilichompata huyo dada, inabidi anikumbuke vizuri kadri atakapofanya kazi ya benki.
Kwa kifupi nilikopa benki, na kutokana na biashara kusua sua dada mmoja kila nikiitwa kujieleza akawa kama ananitukana kimafumbo.
"Ati mnakopa halafu kurudisha fedha hata hujui utarudishaje, tutawafilisi, msikope hovyo" alisema huyo dada.
"Kukopa harusi, kulipa matanga" aliendelea.
Nikajikaza nisijibu neno.

Alahamdulilahi, pesa hiyo ikaingia benki kutokana na biashara zangu, tena siyo vijisenti, bulungutu lililo mara tano ya mkopo!
Nikalipa mkopo mara moja na kuagiza fedha iliyobaki kuhamishia akaunti benki nyingine.
Na nikawaandikia benki kurudisha mara moja dhamana zangu!
Meneja akaniita.
"Vipi tena bro, kwa nini unafunga akaunti tena?"
Nikawaambia tu, muulizeni yule dada wa mikopo.
Huyo dada alikoswakoswa kufukuzwa kazi, ila walimpunguza cheo.
Mtu asiewajua wafanyabiashara wa tender kubwa anaweza kuleta dharau za kipuuzi.
 
Mimi ilinikuta, muhudumu wa hotel alinionesha dharau,
Nikamchunia siku hiyo, nikapanga kukipiza,
Nikamtongoza na nikahakikisha amedata nami nikala mzigo halafu nikapiga chini!
Na nikamchana ukweli, nilikuwa nakuonyesha mie ni zaidi yako!
Mpaka leo mnyonge!
 
Kuna bar moja nikwenda. Kufika tu akajipendekeza bar maid mmoja kuja kunihudumia. Basi nikamwambia akaniletee supu ya kuku jikoni na yeye achukue yake. Dakika tano nyingi supu hizi hapa. Huku nnaendelea kusoma gazeti na kunywa supu. Nikamwambia aniletee castle baridi na yeye achukue yake. Dakika nyingi beer ziko mezani. Nikaagiza castle ya pili na yeye nikamwambia achukue yake. Baadae kidogo nikaomba bili nilipe niondoke. Kabla sijawasha gari namuona huyu ananikimbilia na kuniambia. Kaka umesahau kuchukua namba yangu......
Hahahhahahha,
 
Nililetewa dhihaka na pump attendant Mimi kawaida yangu sikaagi na gari moja.
Nilikuwa na Rav4 nikauza, nikanunua Starlet nikauza, nikanunua Brevis nikaja nikauza nikaja nikanunua Passo rangi ya mgomba ndo siku naenda kujaza mafuta shell ambayo nimeizoea na kituo kizima wananijua. Huyo bidada akaanza nyodo eti hoo kashafulia kanunua kigari cha kike.

Nilimsikiliza sikumjibu kitu nikasema ww dawa yako lazima nikupige kapumbu. Kweli nikaja kufanikiwa nilipiga 3times.
Ukiwa na kigari cha kike dah
 
Kusema ukweli wanawake wengi hasa miaka 45 kushuka chini wanakuwa na customer care mbovu tena mteja akiwa ni mwanamke mwenzake anajibiwa kwa Maringo. kina mama watu wazima wana huduma nzuri. Kuna bank brach manager mmoja wa bank moja aliniambia yeye makao makuu amewaambia wampelekee kwenye tawi lake watumishi wa kiume tu!
 
Salaam wakuu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika mihangaiko yako ya maisha ya kila siku, umewahi kwenda sehemu kupata huduma fulani na ukaletewa nyodo na mhudumu husika, kwa sababu tu aidha mmiliki ni mpenzi wake, au vyovyote?

Karibuni!
Juzi yupo mmoja hivi nimeenda kutoa pesa akaleta nyodo na dharau akizani nimetumwaa na sio mwenye akaunti husika ya benki. Nilimponda sana mjinga yule
 
Mimi ilinikuta, muhudumu wa hotel alinionesha dharau,
Nikamchunia siku hiyo, nikapanga kukipiza,
Nikamtongoza na nikahakikisha amedata nami nikala mzigo halafu nikapiga chini!
Na nikamchana ukweli, nilikuwa nakuonyesha mie ni zaidi yako!
Mpaka leo mnyonge!
Ushamba huo
 
Nililetewa dhihaka na pump attendant Mimi kawaida yangu sikaagi na gari moja.
Nilikuwa na Rav4 nikauza, nikanunua Starlet nikauza, nikanunua Brevis nikaja nikauza nikaja nikanunua Passo rangi ya mgomba ndo siku naenda kujaza mafuta shell ambayo nimeizoea na kituo kizima wananijua. Huyo bidada akaanza nyodo eti hoo kashafulia kanunua kigari cha kike.

Nilimsikiliza sikumjibu kitu nikasema ww dawa yako lazima nikupige kapumbu. Kweli nikaja kufanikiwa nilipiga 3times.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yaani huna hata V halafu ukamsumbue mtoto wa mkubwa?[emoji1787]


lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mtoto wa mkubwa ndio nini? Mbona Waafrika tunakuwa wajinga kiasi hiki? Kwa hiyo kama mtoto wa mkubwa so what? Na nina mashaka huyo mkubwa alikuwa ni miongoni mwa vyeti feki waliotumbuliwa na Magufuli. Hakuna kujuana juana kwenye kazi, kama mtoto wa mkubwa basi aheshimu kazi za watu. Dah ningemfurahisha walah!
 
Kairuki hospital dada wa mapokezi namuongelesha ananipuuza huku anapiga stori na mwezake .

Moto niliomuwashi hatukuja sahau

Wabongo customer care tuko shallow Sana .

Ukishashiba mshahara unaanza fanya kazi kwa mazoea .

Mi sikukopeshi nakulipa hapo hapo
 
Back
Top Bottom