Umeshawahi kumla shemeji yako?

Umeshawahi kumla shemeji yako?

Vitu nilipishana navyo ndo km ivyo sjui kumla binamu; demu wa rafiki yangu; beki 3;shemeji... sjui kuvuta bange....daaah nashukuru kwa hayo japo hayanifanyi kua mtakatifu sana ila kwenye ustaarabu nimeimarika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...usijidanganye...hakuna hatua inayorukwa maishani....aidha utakuja kuvifanya uzeeni au utakosa uzoefu fulani wa uhalisia wa maisha.....[emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Ananichekesha ujue, mwanzo nilikasirika nilidhani ni mtu wenye akili timamu kumbe hazimtoshi bana[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app

mi mwenyewe nilikasirika sana..kidogo nimfate PM nikamtandike makofi...sema moyo ulisita kutokana na issue ya corona

pole kwa msiga wa jirani yako Dr.makongoro mahanga
 
Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.

Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl

Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.

Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.

Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.

Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.

Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
maisha yamekuwa magumu mpaka tunahimizana kula shemeji zetu
 
Ni ukweli kwamba mioyo ya Vijana saiv inawaka tamaa! Wanatembea wamedindisha kabisa, ukiona ameinama kwenye simu anacheki pon, kajifungia chumbani anacheki sijui movie kwenye laptop ngono, wadogo zetu wa kike nao kadhalika! Wanaume imedina kila wakat, wanawake kiharage kimetuna kila wakt!

Sasa hapo unategemea nn! Natamani tahadhari ya Corona ingehamishiwa kwenye porn!

Wew Kijana uliyemla Shemeji, usirudie. Unawez usipate furaha maisha yako yote kwa kuteswa na karma. Pole, ila endelea kujiheshimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee, hebu acheni ushamba basi.
Hivi mfano wewe Khantwe au wewe financial services ukito*mbwa na shemej yako ama rafik yako ama mwanaume yeyote tofauti na mumeo....
Je anaondoka na Mbunye yako?
Je mumeo akirudi toka safari utamwambia baba Mwajuma mdogo wako amenito*mba?
Yaani kipi hasa kitapungua kwako?

Nyie wote wawili, maisha yenu tangu utotoni mnatembea na makamasi mpaka hivi sasa mmeshawahi kuto*mbwa na mwanaume wangapi?

#Acheni Ushamba
Umeandika ujinga ila imebidi nicheke sana!
 
Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau.

Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi hawana mtoto wala house girl

Shemeji alikuwa anapenda sana kuangalia movie, namimi ni mpenzi pia hivyo tulikuwa tunaangalia movie mpaka saa nane usiku.

Siku niliyomla, umeme ulikuwa umekatika mida ya saa nne usiku kwahyo nikawa naangalia zangu movie chumbani kwa Laptop yangu. Akasema kiutani shem acha uchoyo bana mbona unaangalia movie peke yako (mlango ulikuwa umerudishiwa tu, kwahyo sauti na mwanga), nikacheka nikamwambia karibu tuangalie.

Kweli shem akaja, movie naangalizia kitandani na muda chumbani hamna kiti wala meza. Tumeangalia weee, kufika saa sita tu hivi usingizi ukamchukua akalala hapo hapo. Namimi nikafunga laptop mana ilikuwa inaishia charge nikaenda toilet nikalala, japo shetani alikuwa ameshaanza kuniingia.

Usiku sikumbuki kilitokea nini tukajikuta tupo kwenye game mpaka asubuhi. Huo mchezo ulidumu kwa miezi mitatu ikabidi niombe kuondoka pale nirudi tu nyumbani, nilijua ipo siku nitafumwa na undugu utaisha.

Mpaka leo hatujawahi kurudia tena na tunaheshimiana sana, japo huwa najutia sana dhambi ile. Wewe ulishawahi kumla shemeji yako? Ilikuaje?
Shemeji yako ni malaya na hapo fala ni wewe siyo kaka yako. Tambua fika huyo shemeji yako ni chakula cha masela hapo mtaani.
 
Aisee, hebu acheni ushamba basi.
Hivi mfano wewe Khantwe au wewe financial services ukito*mbwa na shemej yako ama rafik yako ama mwanaume yeyote tofauti na mumeo....
Je anaondoka na Mbunye yako?
Je mumeo akirudi toka safari utamwambia baba Mwajuma mdogo wako amenito*mba?
Yaani kipi hasa kitapungua kwako?

Nyie wote wawili, maisha yenu tangu utotoni mnatembea na makamasi mpaka hivi sasa mmeshawahi kuto*mbwa na mwanaume wangapi?

#Acheni Ushamba

Oya Nyani Ngabu njoo uchukue mtu wako
 
Shemelaa wangu ni mzuri, halafu ana nyama sasa. Nilipomaliza chuo nilikaa kwa bro wakati ninasaka kazi. Alinitega nikategua yote (kwa neema ya Mungu). Kiukweli ninamheshimu sana bro wangu hata sasa. Nisingeweza kumfanyia unyama huo. Kuna kipindi mpaka bro akitoka Shem anakaa uchi sebuleni, eti nikiingia anajifanya kama alijisahau.. aisee siyo kabisa. Baada ya kunisoma kwamba simwelewi kilichofuatia kila bro akirudi anapewa jalada la kesi, yaani kesi juu yangu haziishi kama diipipii anavyowakaba wapinzania kule kwenye ile nchi. Bro alikuwa hakubali mwanzoni, but kesi zilivyozidi akaanza kuamini. Nilifanikiwa kupata kazi nakuchomoka pale, but mpaka leo hatuivanagi kiviiile na Shemela, japo bro niko naye vyema sana

Nilichojifunza, ukiona mke au mumeo ameivana sana na ndugu yako,hata kama unamuamini vipi, wachunguze vizuri, huenda ukatuletea thread humu.
-Mkaskaz Damu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom